TUFURAHI KIDOGO
*Jimmy*: Mpenzi,kweli nakuhitaji naomba uwe wangu.
Kademu: Lol,samahani Nina boyfriend wangu.
*Jimmy* : Kweli ila Hata miamba ya Goli ina makipa lakini mastraika wanafunga.
Kademu : Haha,upo kama beki Sasa Katika hili.
*Jimmy* : Sergio Ramos ni beki lakini ana magoli mawili Katika Fainali za Ligi ya Mabingwa.
Kademu : Vyovyote,Boyfriend wangu ni mrefu na ni tajiri.
*Jimmy* : Sikia,Manuel Neüer ana Futi 6.4 Ila Messi bado anamfunga kwa kuchop.
Kademu : Sawa ila unajua Messi ni tajiri kuliko Neüer ?
Nina uhakika na hilo.
*Jimmy*: ni Kweli Lakini Messi Sio mrefu kama Neüer kwahiyo Hapo ni 1-1.
Kademu: Hujawahi Kukata tamaa wewe?
*Jimmy*: Chile wamecheza Mpira kwa miaka 99 bila kushinda Copa America,Lakini Wamekomaa na Wamelipata.
Kademu : Uelewa wako Wa soka Unaweza kukupatia nafasi sehemu.
*Jimmy*: Kabisa na Next destination ni kwenye Moyo wako.
Kademu : Jamani, Af Unajua nitakublock Sasa hivi [emoji35]
*Jimmy* : Mwaka 2006,Petr Cech alijaribu kumblock Stephen Hunt ili asifunge,Baadae Aliishia kuumia na nasfi yake.
Kademu: We ni Genius, NIPIGIE SAIZ,NIPO FREE.
*Jimmy*: NAKUFATA(Sipendagi Ujinga) [emoji23][emoji23]