FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

tuna pengo kubwa kule nyuma. mi naona jana Diego Alves alikuwa njema kuliko Ter. hata ile penalty chupuchupu ainase.
Kudaka penalt ni kubahatisha bana-hakuna ufundi wa kudaka penalt-Goalkeepers wote wana dive kabla haijapigwa alaafu anaomba God akutane nao-ndio maana wengine umlenga keeper because wanajua lazima ata dive left or right
 
Reactions: PNC
umeongea kitu cha maana japo Jackline atamtetea [emoji4]
 
Hawa real na wao wakifa Leo itakuwa poa sana
 
Reactions: PNC
KWANI WEWE UPO THREAD GANI??
Mkuu nilikuwa na msanifu huyo anaesema barca inabebwa na messi, sasa ndio nilikuwa na mwuliza kwani messi sio mchezaji was barca?
 
Reactions: PNC
mtoto mdogo(Messi) kamvua nguo baba yake mdogo(Pep) hadharani....hahahah king leo

hivi uyu Mathiue si aondoke ata kwa mkopo January...simuelewagi kabisa mimi
Mkuu huyu Mathew simpendi kwa kweli lkn sema kwasaizi wakiumia wengine kama hayupo itakuwa shida sana, siunaona kule kulia tunapata shida mpaka macherano anaenda kucheza kisa hatuna replacement ya sergi!!! Alex Vidal wa uonga sana nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…