Sijakuelewa kaka naomba ufafanuzi.niko frustrated. Man U wamedroo hivihivi.
Mpira kitu cha ajabu sana. Hawa hawa granada walichezea 7 kwa atletico madrid jana wametutoa jasho namna hii! Hata hivyo point tatu kibindoni tunakimbiza kimya kimya.Win is Win [emoji122] [emoji122] [emoji122] .....ila Jana aiseee ilikuwa imbombo ngafu !!!
Nimeji quote-Suarez must take his chances in front of goal-anatakiwa awe na composure mbele ya goal kama alivyokuwa mwaka jana-Messi na Neymar kufunga goal ni bonus-Suarez ndio hitman pale kati he has to bury the ball in the net.Barca jana defence walikuwa wanacheza high up,hii hatari when you are leading by a lone goal refa akijisahau kwenye offside mnafungwa.Again team hizi ndogo wana pack defence with bodies wanavizia wakupige na sucker punch,mkikosa kosa goals wana sniff a giant killing actI must have seen a different game-Stergen ana kosa?? sio defence inajichanganya? In reality opposition wamekuja na energy ya ajabu-All in all Suarez angechukua chances zinazomwangukia hawa Valencia wasingepata a sniff
We jackline marry me basi..maana sitakuwa na haja ya kutoka nje usiku kwenda kung'ang'ana kumsikiliza mwalimu kashasha akibabaisha..sio siri you captivated my soul and everyday I want to hear your comments more and more.Nimeji quote-Suarez must take his chances in front of goal-anatakiwa awe na composure mbele ya goal kama alivyokuwa mwaka jana-Messi na Neymar kufunga goal ni bonus-Suarez ndio hitman pale kati he has to bury the ball in the net.Barca jana defence walikuwa wanacheza high up,hii hatari when you are leading by a lone goal refa akijisahau kwenye offside mnafungwa.Again team hizi ndogo wana pack defence with bodies wanavizia wakupige na sucker punch,mkikosa kosa goals wana sniff a giant killing act
Man u jana walimshambulia sana Burnley lakini wakadroo. na sisi mechi ya jana ilitaka kuwa hivyo.Sijakuelewa kaka naomba ufafanuzi.
Sijakuelewa kaka naomba ufafanuzi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakuu Leo ni birthday ya beki wetu mpendwa Mathieu. Anatimiza miaka 33. Tumtakie kheri katika maisha yake
Poa kabisa vipi hali?Mambo mpenzi!
Aiseee usinikumbushe ile mechi [emoji24] [emoji24] [emoji24]Man u jana walimshambulia sana Burnley lakini wakadroo. na sisi mechi ya jana ilitaka kuwa hivyo.
Nimeji quote-Suarez must take his chances in front of goal-anatakiwa awe na composure mbele ya goal kama alivyokuwa mwaka jana-Messi na Neymar kufunga goal ni bonus-Suarez ndio hitman pale kati he has to bury the ball in the net.Barca jana defence walikuwa wanacheza high up,hii hatari when you are leading by a lone goal refa akijisahau kwenye offside mnafungwa.Again team hizi ndogo wana pack defence with bodies wanavizia wakupige na sucker punch,mkikosa kosa goals wana sniff a giant killing act
ndiyo maana kocha alimpuumzisha busketi? ila kukosekana Pique, Iniesta na Alba kunanipotezea confidence. timu yetu ukiacha first eleven hatuna sub za kutisha. RM unakuto anatoka Benzema anaingia Morata. sisi anatoka Suarez anaingia Paco au dennis!BARCELONA KESHO TUNAELEKEA ENGLAND KUCHEZA NA MAN CITY
LA KUJIKUMBUSHA
MESSI
MECHI 2
HAT TRICK 2
GOLI 6
Poa kabisa vipi hali?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hawanipigi huwa nikiandika wanaishia kuzifuta post zanguNikajua umepigwa ban😀😀
Salama kabisa.Namshukuru Mwenyezi Mungu mimi mzima! Vipi huko salama lakini?