FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Dah inafika mahali inabid tukubali historia tu sababu historia si kitu kizuri kabisa katika soka

[emoji117][emoji117]Barcelona haijawahi kushinda taji la liga kwenye msimu inayoishia na 7

Barcelona have never Won la liga in year whose last digit is 7 *(1947,1957,1967,1977,1987,997,2007,)*na hii dalili zishaanza mapema kuonekana nimejarbu kufuatilia historia hii ina ukweli 98%ambapo Barcelona huwa inamaliza nyuma ya Real na timu nyingine ambayo inashinda la liga mara nyingi imekua ni tofauti ya point 1 or 2

1997 Barcelona point 76
Real Madrid point 76 tofauti ilikua ni magoli ya kufungwa na kufunga hvyo kwa wimbi hili la Barcelona msimu huu linaashiria historia kamili jins ilivyo


[emoji117][emoji117]Kwa upande wa Barcelona ya sasa kocha Enrique hana mwenendo mzuri sana na chipukizi ambao wanatokea akademi ya lamasia sababu kabla ya kwenda Celta Vigo kufundisha alikua kocha Wa Barcelona B iliyokuwa na akina munir El Haddad, sandro Ramires, Marc Batra, Gerrard deolfoe, Christian Tello, Sergio samper, Ivan Hallovic isaac cuenca na wengine wengi sana ambapo walishinda kombe la UEFA YOUTH LEAGUE na munir El Haddad kuibuka mfungaji bora wa michuano

[emoji117][emoji117]cha kushangaza mchezaji pekee aliyebaki Barcelona had sasa ni Sergi Roberto ambaye pia ni kutokana na unyumbulikaji wa dogo huyu kucheza takrban no zote uwanjani


Kuna kamali imechezwa na Luis Enrique ni kwenye usajili wa beki Aleix Vidal, Jeremy Mathieu,Arda Turan, na Mshambuliaji Paco Alcácer hii ni kamali ktk kikosi cha Barcelona artilist andre gomes, Denis Suárez Lucas Digne wanajitahid lakini ukweli bado hawajafikia hatua ya kuichezea Barcelona bado hawajafikia ubora halisi wa jezi ya Barcelona

[emoji3][emoji3][emoji3]Paco Alcácer amezunguka uwanjani dk 31 bila hata ya kugusa mpira mmmh hii ni hatari kwa mchezo wa Barcelona wanavyocheza unakua uwanjani kwa dk 31 bila mafanikio ya kugusa mpira hata mara moja dah bado umemtoa munir El Haddad kwa mkopo na kudhihirisha ubora wake katufunga Barcelona tena akitokea sub why Paco Alcácer

Kiungo Sergio Busquets hana mbadala alikuepo Sergio samper ambaye alikua anakamatia dimba vizuri sana tofauti na anapokua nje Busquets pengo linaonekana


But watani wangu Los blancos hongereni kwa ushindi lakini hii furaha mnaipata kwa muda mfupi mno kulkon mkishinda inakua kama vile Barcelona c chochote la liga na wakati huo kwa vizaz vyetu vya miaka ya 1990's hamna aliyeishuhudia Real Madrid ilichukua la liga mara 7 almost miaka 26 now ambapo Barcelona wamekusanya makombe 15 kwa miaka 26 hiyo xo nadhani tuangalie na hilo pia tusijisahau sana

[emoji117][emoji117]muulizen Cristiano Ronaldo tangu mwaka 2009 atue Santiago benabeu ana la liga ngapi jibu atakalo kupa ni ni kwamba ana kombe moja la liga wakati huo ni mwaka wa 8 sasa

Luka modric, Ton Kroos, Gareth Bale na almost nusu wachezaji wote wa Madrid wa sasa hawana la liga jiulizen ni kwamba hawana ubora?


But all in all inakupasa tukubaliane na matokeo ya game pia tusiwe watu wa kutaharuki mara tu timu inaposhinda lakini kama ww ni shabik wa Ronaldo pekee ok poa ngojea akifanya vizuri njoo utambe lakini kama mdau wa soka maoni yako ni muhimu ili kuleta changamoto pia kujuzana habari ambazo wengine hatujui

*We win together*
*We lose together*
*We cry together*
*We smile together*
*We celebrate together*
*We draw together*
*are Barcelona forever*
*2gether as one @catalans*
*Da home of trophies*
*Visca El Barca visca cataluna*


cop&paste
 
Picking the Best Potential Barcelona Lineup for the Champions League Clash With Celtic on Wednesday
Picking the Best Potential Barcelona Lineup for the Champions League Clash With Celtic Today


Barcelona were somehow kept out by a nine-man Malaga at the weekend, with both Luis Suarez and Lionel Messi absent from the draw.

Barcelona lost last time out in the Champions League, falling to a 3-1 defeat at Manchester City, but only need one win in their last two group games to secure safe passage to the next round, and are expected to breeze past Celtic on Wednesday.
Goalkeeper

Ter StegenTer Stegen
Since Claudio Bravo left the Nou Camp, Germany keeper Marc-Andre ter Stegen has cemented himself as Barcelona's first-choice goalie, and should start again against Celtic.
Defence

S. RobertoS. Roberto
MascheranoMascherano
PiquéPiqué
Jordi AlbaJordi Alba
Lucas Digne started at the weekend, so Jordi Alba should rotate in and give Luis Enrique's side added dynamism going forward.

Sergi Roberto is likely to continue to fill in at right-back, while Javier Mascherano and Gerard Pique will start with both Samuel Umtiti and Jeremy Mathieu ruled out with injury.
Midfield

RakiticRakitic
BusquetsBusquets
Denis SuarezDenis Suarez
Andres Iniesta is still absent due to injury, so his potential successor Denis Suarez should start ahead of Rafinha, who could not find a way through Malaga's midfield on Saturday.

Sergio Busquet's is a permanent fixture in the Barcelona team, while Ivan Rakitic should start after being benched at the weekend.
Forwards

MessiMessi
SuárezSuárez
NeymarNeymar
When available, Barcelona's forward line picks itself.

Lionel Messi missed the Malaga match thanks to illness but should find himself back in the starting lineup, while Luis Suarez, who served a suspension at the weekend, will start up front.

Neymar will be glad to have his forward buddies back alongside him, having failed to help his side score in their last match.
 
Messi back in Barcelona training after virus

Nov 23 2016 - 13:18
Barcelona welcomed Lionel Messi back to training after the Argentina star missed Saturday's 0-0 LaLiga draw against Malaga through illness.
Lionel Messi returned to training with Barcelona on Monday ahead of their Champions League clash with Celtic.

The Argentina superstar missed Saturday's match against Malaga, as Luis Enrique's men drew a blank at Camp Nou.

The 0-0 stalemate leaves the defending champions four points behind rivals Real Madrid at the LaLiga summit.

Barca remain top of the pile in Champions League Group C despite a 3-1 reverse at Manchester City last time out and victory in Glasgow on Wednesday will guarantee progression to the round of 16.

Messi is the top scorer in this season's competition with seven goals, including hat-tricks in the triumphs over Celtic and City at Camp Nou.
 
Reactions: PNC
*MESSI VS RONALDO CAREER STATS*
-------------------------------
*CRISTIANO: 2002-2016*
*LIONEL MESSI: 2004-2016*
-------------------------------

*Goals:*

Ronaldo: 563 goals in 818 games
Messi: 524 goals in 658 games

*[Ronaldo is only 39 goals ahead where Messi has 160 matches in hand to surpass them]*
-------------------------------
*Assists:*

Ronaldo: 187 in 818 games
Messi: 220 in 658 games

*[Messi is 33 assists ahead as well as having played 160 matches less than Ronaldo!]*
-------------------------------
*Hattricks:*

Ronaldo: 44 Hattricks in 818 games
Messi: 41 Hattricks in 658 games

*[Ronaldo is only 3 Hattricks ahead where Messi has 160 matches in hand to surpass them]*
-------------------------------
*Analysis of Hattricks:*

Ronaldo: 44 Hattricks, 50% of them with the help of a penalty!
Messi: 41 Hattricks, 25% of them with the help of a penalty!
-------------------------------
*Hattricks against Big teams*

*Messi's 17 Hattricks against big teams:*

Real Madrid x 2 [1 with penalties]
[emoji460][emoji460][emoji460] [emoji460][emoji460][emoji460][PP]

Atletico x 3 [1 with a penalty]
[emoji460][emoji460][emoji460] [emoji460][emoji460][emoji460] [emoji460][emoji460][emoji460][P]

Man City
[emoji460][emoji460][emoji460]

Arsenal [4 goals]
[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]

Brazil
[emoji460][emoji460][emoji460]

Valencia x 4 [1 with 4 goals]
[emoji460][emoji460][emoji460] [emoji460][emoji460][emoji460] [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460] [emoji460][emoji460][emoji460]

Sevilla x 2
[emoji460][emoji460][emoji460] [emoji460][emoji460][emoji460]

Leverkusen [5 goals]
[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]

Ajax
[emoji460][emoji460][emoji460]

Celtic
[emoji460][emoji460][emoji460]
-------------------------------
*Ronaldo's 8 hattricks against big teams:*

Atletico x 2 [Both with a penalty]
[emoji460][emoji460][emoji460] [emoji460][emoji460][emoji460][P][P]

Sevilla x 5 [1 with 4 goals and 2 with penalties]
[emoji460][emoji460][emoji460] [emoji460][emoji460][emoji460] [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460] [emoji460][emoji460][emoji460] [emoji460][emoji460][emoji460][P][P]

Wolfsburg [Perfect hattrick]
[emoji460][emoji460][emoji460]
-------------------------------
*Messi's 17 hattricks in analysis came vs 10 different big opposition*

*Cristiano's 8 hattricks in analysis came vs 3 different big opposition*
-------------------------------
*Trophies:*

Ronaldo: 19 Trophies at the age of 32!
Messi: 29 Trophies at the age of 29!

*[Messi has played 160 matches less than Ronaldo but has 10 more trophies.]*
-------------------------------
*Goals in Finals:*

*Messi: 25 goals in 29 Finals*
[25 goals in 24 finals for Barca and 0 for Argentina in 5 finals inc appearance in Confed Cup final as a 19 yr old]

*Ronaldo: 11 goals in 20 Finals*
[11 goals in 18 finals for Man U and Madrid n 0 for Portugal in 2 finals]

*[Messi has played 9 more finals and scored 14 more goals]*
-------------------------------
*Ballon D'ors:*

Ronaldo: 3 Ballon D'ors
Messi: 5 Ballon D'ors

*[Messi has played 160 less matches and we all know that 5>>>>>>>>>>3]*
-------------------------------
*STANDOUT RECORDS*

Record Calendar year goals:
*MESSI 91-69 CRISTIANO*
-------------------------------
Record Season goals:
*MESSI 73- 61 CRISTIANO*
-------------------------------
Record Liga/League season goals:
*MESSI 50-48 CRISTIANO*
-------------------------------
Record UEFA season goals:
*MESSI 14-17 CRISTIANO*
-------------------------------

STOP ARGUING ABOUT THESE 2 PLAYERS AND LET THE NUMBERS DO THE TALKING
 
LEO NI UEFA CHAMPIONS LEAGUE

FC BARCELONA vs B.MONGLEDACH

SAA 4:45 E.A.T
 
Ukiondoa MSN ambao wakiwa on song,no defence on mother earth can keep out- mimi huwa napenda kutazama keeper na defence ya Barca wanavyopeana risky passes kule nyuma-somehow they just easily wriggle out of risky situations. Hopefully hii defence itaipa funzo kubwa la ku pass football ndani ya kumi na nane,hawa Celtic. Stegen make sure una control ball na effortlessly and without a worry play the ball around you-hii mambo ya ku hook up mpira down the pitch waachie team zingine
 
Jirani hivi huwezi kuizungumzia Barcelona bila kumtaja CR7?
 
Reactions: PNC
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…