Ki ufupi the Enrique era is over, na mkipata kocha mpya inabid apewe timeGuys trust me we gonna come up camp Nou haya tunayoyazungumza wachezaji na management yameshayaona inawezekana Enrique end of season kwaheri...hr is boring for sure
Naizungumzia timu mamaAhahaha
Nna timu nyingi
Unaizungumzia ipi?
HahahahaNaizungumzia timu mama
MWANITESA UNIYMTED
Uwezekano wa Barcelona kumtoa PSG ni sawa na uwezekano wa kwenda zanzibar kwa gari
Wameshatoka hao hii itakuwa kama ya ulrmsimu wa 2012/2013 walivyochakazwa na BayernDuuuh kumbe mgonjwa hakufa kabisa na daktari ( mashabiki ) anasema mgonjwa anaweza poa akipelekwa Camp Nou hosp..
kushinda 5 au sita kwetu siyo tatizo tumefanya hivyo mara nyingi. tutawapigia 3-4-3 na kumaliza mchezo. zanzibar mbona kunaendeka, hujui kuna magari ni amphibia?Uwezekano wa Barcelona kumtoa PSG ni sawa na uwezekano wa kwenda zanzibar kwa gari
kushinda 5 au sita kwetu siyo tatizo tumefanya hivyo mara nyingi. tutawapigia 3-4-3 na kumaliza mchezo. zanzibar mbona kunaendeka, hujui kuna magari ni amphibia?
Kama ulisha wahi iona gari inaenda zanzibar ndio utaiona barcelona ikishinda 5-0.kushinda 5 au sita kwetu siyo tatizo tumefanya hivyo mara nyingi. tutawapigia 3-4-3 na kumaliza mchezo. zanzibar mbona kunaendeka, hujui kuna magari ni amphibia?
Toa hizo data za 5 au sita 6 ambayo ni comebackkushinda 5 au sita kwetu siyo tatizo tumefanya hivyo mara nyingi. tutawapigia 3-4-3 na kumaliza mchezo. zanzibar mbona kunaendeka, hujui kuna magari ni amphibia?
hiyo haijawahi tokea. ninachosema ni kuwa tunauwezo na mara nyingi tumeonyesha kuwa kushinda 5 au 6 kwetu si tatizo.Toa hizo data za 5 au sita 6 ambayo ni comeback
Hiyo ni Champions league siyo mtoano first leg ukipigwa hizo 2nd leg ukitaka magoli mtafunguka hafu watawapiga counter attack mtapigwa sana beki zenu hazina mbiohiyo haijawahi tokea. ninachosema ni kuwa tunauwezo na mara nyingi tumeonyesha kuwa kushinda 5 au 6 kwetu si tatizo.
liver alirudisha goli 3 ndani ya dk 45 kwenye fainali. siku hiyo umtiti na sergio wasio na spidi watakaa benchi. utakuwa moto kwenda mbele.Hiyo ni Champions league siyo mtoano first leg ukipigwa hizo 2nd leg ukitaka magoli mtafunguka hafu watawapiga counter attack mtapigwa sana beki zenu hazina mbio
Unatembelea nyota ya Liver acha kijana kwa uchezaji wa Barca hakuna jipya mtatandikwa tuliver alirudisha goli 3 ndani ya dk 45 kwenye fainali. siku hiyo umtiti na sergio wasio na spidi watakaa benchi. utakuwa moto kwenda mbele.
Sio kwa barcelona hii ya Denis Suarez na Gomez wanaowekwa kwenye mfuko wa shati na rabiot pekeehiyo haijawahi tokea. ninachosema ni kuwa tunauwezo na mara nyingi tumeonyesha kuwa kushinda 5 au 6 kwetu si tatizo.
hiyo haijawahi tokea. ninachosema ni kuwa tunauwezo na mara nyingi tumeonyesha kuwa kushinda 5 au 6 kwetu si tatizo.
haha haha. 1 in a million. dumb and dumber. kumbe umeicheki hii kitu?. ngoja tuwaonyeshe maajabu hiyo tarehe nane.So you're telling me there's a chance?
haha haha. 1 in a million. dumb and dumber. kumbe umeicheki hii kitu?. ngoja tuwaonyeshe maajabu hiyo tarehe nane.
Nahifadhi maneno yakoUwezekano wa Barcelona kumtoa PSG ni sawa na uwezekano wa kwenda zanzibar kwa gari
Man UAhahaha
Nna timu nyingi
Unaizungumzia ipi?