I feeel like dying niliandika dakika chache kabla ya match to show my faith is validWashikaji leo ni siku ya bahati sana Mungu amenionyesha kwa mifano thats why Barcelona ataisimamisha dunia
Kabisa mkuuhata wewe usingelala vizuri.
Na wewe punguzaga MIKOGO basi...I love my Barca to death
Roho mbaya zitawaua ninyiBarcelona wamebebwa
Wamebebwa hao
PNC 1 they looked at us like we were joking aisee !!leo can u imagine nilikua nawa filter washabiki wa kweli wa Barca (wafia chama) na wasio wa kwelikweli kabsa mkuu[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Wivuuuuuuuu huoNa wewe punguzaga MIKOGO basi...
Ebo..!!!
A special team in the worldMamaaae aisee hii barca very special aiseee usingizi umekata kuta boya kesho job atanieleza
ila mkuu BARCA tumetoka mbali nashukuru kwa hamasa yakoPNC 1 they looked at us like we were joking aisee !!leo can u imagine nilikua nawa filter washabiki wa kweli wa Barca (wafia chama) na wasio wa kweli
nakumbushiaTushawaazoea hata huo mwaka mlisema Barca kali ni ile ya Dinho pia msimu ujao mtasema Barcelona kali ni ya mwaka jana iliyompiga PSG 7
barca wamebebwa mpaka aibu....MAN OF THE MATCH NI REFA ......A special team in the world
A special team in the world
hufai kuwa mwanajeshi
Remuntada naona kama impossible kwa sababu psg nao hawatakaa wawaangalie tu barcelona Nou Camp hiyo itakuwa ni vita ya msituni.
mkuu jamaa wako kwenye denial wala usishangae.Roho mbaya zitawaua ninyi
kumbe inawezekana kwenda zenjikwa garUwezekano wa Barcelona kumtoa PSG ni sawa na uwezekano wa kwenda zanzibar kwa gari
safiiiiiiiiiiiiiiiiGuys trust me we gonna come up camp Nou haya tunayoyazungumza wachezaji na management yameshayaona inawezekana Enrique end of season kwaheri...hr is boring for sure
penati za uongo, faulo za uongo....Barcelona wamebebwa mpaka aibunakumbushia
asante mkuu[emoji122] [emoji122]kushinda 5 au sita kwetu siyo tatizo tumefanya hivyo mara nyingi. tutawapigia 3-4-3 na kumaliza mchezo. zanzibar mbona kunaendeka, hujui kuna magari ni amphibia?