Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Usiache kwenda kwenye kitchen party yake siku ikifikavyovyote vile ila Cr 7 ndiyo mwenyewe .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiache kwenda kwenye kitchen party yake siku ikifikavyovyote vile ila Cr 7 ndiyo mwenyewe .
timu yetu inakua mojaHapo sawa.
Hahahaaaaa!!! Labda kwa Barca, ila watani wa jadi hapana aisee!!timu yetu inakua moja
ok dealHahahaaaaa!!! Labda kwa Barca, ila watani wa jadi hapana aisee!!
Na hakuna kuinizomea wa kimataifa tukifungwa.ok deal
Ni kweli kabisa, ndio mwenyewe mwenye mume mmorocco.vyovyote vile ila Cr 7 ndiyo mwenyewe .
kwa kuwa umejua mtafungwa sio kesiNa hakuna kuinizomea wa kimataifa tukifungwa.
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]kwa kuwa umejua mtafungwa sio kesi
hayo mengine ni yeye, mie napenda mpira wake. ya kuwa na mme na mke hayanihusu.Ni kweli kabisa, ndio mwenyewe mwenye mume mmorocco.
mmmh ngumu kumeza.Usiache kwenda kwenye kitchen party yake siku ikifika
Jana barca walipewa( walinunua) penalty 2 za bure kabisa.Magazeti yote Barcelona leo yameuzwa nusu bei,Mayor amependekeza Neymar apewe tuzo la Freedom of the city of Barcelona.Pundits wa mpira wanasema kwa hii formation ya 3 4 3 na high pressing-hakuna wa kumzuia Barca kuchukua treble
Wewe endelea kujidanganya hivyo hivyo wakati match ilichezwa nusu uwanja hata Ter stergen alikua fit na kupiga pass nyingi kushinda MidFielder wenuJana barca walipewa( walinunua) penalty 2 za bure kabisa.
Waamuzi wanaharibu mpira sasa. Timu kubwa na kongwe zinapendelewa sana.
Magazeti yote ya Barcelona ya leo yanataka quarter final ichezwe against R Madrid- yanadai on this form Madrid kupigwa 5 ni possible.Statistics za match hizi hapa Barca deserved to win tena goal nyingi sana PSG wana bahati sana walijitahidi kupunguza idadi ya magoli na ole wake tutakayekutana nae Quarter final napendekeza iwe Madrid tuipige nje ndani
View attachment 478894
PEOPLE of your calibre ndio wanasababisha nchi yetu mama,Tanzania ibaki nyuma katika Nyanja zote za kitu inayoitwa MichezoJana barca walipewa( walinunua) penalty 2 za bure kabisa.
Waamuzi wanaharibu mpira sasa. Timu kubwa na kongwe zinapendelewa sana.
Teh teh teh teeeeh!! You wish au inakupa relief?Jana barca walipewa( walinunua) penalty 2 za bure kabisa.
Waamuzi wanaharibu mpira sasa. Timu kubwa na kongwe zinapendelewa sana.