FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

My team ni wazuri kwenye comeback ndio maana msimuu huu tuna magoli mengi sana kipindi cha pili tutawapiga nyingi hawa koko wakawasalimie dada zao akina Gaynaldo
 
Hii ni game ya ushindi no matter what lazima Valencia wafungwe akina Pique wam keep somebody zaza ,valencia watamuweka attack mmoja tu ambaye ni Zaza
 
3-4-3 ni nzuri ila inatesa sana midfielder wanatakiwa wakabie sana juu sometimes hadi foward wanatakiwa wafanye interception incase wanapoteza mpira
 
Good Messi ukiwa mazoezini na Suarez hebu mmalizieni uchawi wenu kwenye kumalizia tu magoli our future Maestro Neyma
 
Game tumeshinda king hatakuwepo next match kwa maamuzi yakiboya ya referee
 
Messi misses next match. Mirefa mingine bhana.
Kosa la kipuuzi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…