Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unayeujua mpira eleza vipi Barca walipewa zile penalti mbili?Hujui mpira kaa kimya.
Sibishanagi na ma underground mimi ,low minds zakukaririshwaUsibadilishe topic, Le Mbeleko mmepewa kichapo and that's it. Sasa Marcelo angepewa red card ndio mngechomoa? Mlaumu refa aliyefumba macho wakati Suarez anadive mpaka anataka kujivunja kiuno ye hatoi penalty.
Sibishanagi na ma underground mimi ,low minds zakukaririshwa
eti Man U nao wanamtaka! tukimkosa tutajutia sana. huyu ni next iniesta. cheki wanavyomsimu.Jamani Verrati huyo.... yuko free mwisho wa season amegoma ku sign new contract na nafsi yake inapenda aje Barca tushindwe sisi tu
Anapenda sana Barca dogo ana contact sana na wachezaji wa Barça hata juzi walim blackmail kuwa "we are finished" hatuwezi kupindua matokeo[emoji23]Jamani Verrati huyo.... yuko free mwisho wa season amegoma ku sign new contract na nafsi yake inapenda aje Barca tushindwe sisi tu
Naomba nijue 11:00 GMT huku kwetu ni saa ngapi nataka nifatilie Droo ya quarter final UEFA.
huyu jamaa anajitumaga sanaI prefer ,This person should be our coach View attachment 481819
Yeah halafu yuko ambitioushuyu jamaa anajitumaga sana
huyu Enrique ni kocha mwenye uwezo wa kawaidaYeah halafu yuko ambitious
here we are coming naona Perez kanyimwa kibonde leceister amepewa mlima ha ha ha ha ha