JITAHIDI MTANI
SAFARI HII COMEBACK NI KWAKO SEMI FINAL
Kuna faulo alichezewa 'S Roberto na manzukic (baada ya kwanza wote kupewa yellow ), refa akapeta na ilikuwa ni straight red Card, lakini hata yellow ya pili hakuitoa
hlo siliwazi najua point 3 tyar tunazo kwenu mnakuwaga wepesi saaanaWe tayari ushachinjwa. Lakini usiwe na wasiwasi tunawasubiri pale The Cathedral of Football, the Santiago Bernabéu Stadium au umesahau kuwa tuna game ya La Liga
jana maamuzi hayakuwa fair, wanataka kutushusha kwa lazima.Kuna faulo alichezewa 'S Roberto na manzukic (baada ya kwanza wote kupewa yellow ), refa akapeta na ilikuwa ni straight red Card, lakini hata yellow ya pili hakuitoa
wamemsuspend Neymar. el clasico imeshapoteza ladha.hlo siliwazi najua point 3 tyar tunazo kwenu mnakuwaga wepesi saaana
jana maamuzi hayakuwa fair, wanataka kutushusha kwa lazima.
katika lipi?jana maamuzi hayakuwa fair, wanataka kutushusha kwa lazima.
sema shuti moja kwa mtu ambaye hakucheki anaweza sema kweli tulicheza chenga twawala. kiukweli tulicheza vizuri kuliko na PSG pia tulitengeneza nafasi nyingi sana. cheki ilivyokuwa.Red Giant bhana, unataka kuleta lawama badala ya kuangalia timu yako imefanya nini. Jana mmecheza chenga twawala tu, dakika 90 shuti moja tu kwenye target wakati Juve walikuwa na 32% ya possession wamepiga mashuti kama 15 hivi. Mmezoea penalty inabidi Neymar afanye mazoezi zaidi ya kudive
jamaa ameshika kwenye box. siyo ball to hand ile sababu mkono haukuwa kwenye natural position. manzukichi ile faulo kwa roberto ilikuwa ni second yellow.katika lipi?
kwa kweli ile ilikuwa ni ngumu sana kwa refa kuiona, mi mwenyewe ilibidi nije kuirufia u tube, mlipoteza nafas nyingi sanaa za wazi.jamaa ameshika kwenye box. siyo ball to hand ile sababu mkono haukuwa kwenye natural position. manzukichi ile faulo kwa roberto ilikuwa ni second yellow.
Sema usemavyo ila mimi bado nina imani na BARCELONAWatu wamesoma ujanja wenu tayar, hyo cku ni full vitasa hatapenalt hampati.
It seems we ni shabik wa R.madrid naHamna siku nimefurahi kama jana!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]safari yenu imewadia heheheheheheheheeeeeeeee mlione kibonde psg heheheheeeeeeeee pigaaaaaa!!!
hata psg walivyotupiga mlishangilia hivihivi. mkajiaminisha kuwa wakina Draxler, Rabiot na Verrati hawawezekaniki. leo mnaiita vibonde.Hamna siku nimefurahi kama jana!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]safari yenu imewadia heheheheheheheheeeeeeeee mlione kibonde psg heheheheeeeeeeee pigaaaaaa!!!
PSG hata ligi ya kwao yenyewe inawashinda, yaan ile siyo tim hamna kitu palehata psg walivyotupiga mlishangilia hivihivi. mkajiaminisha kuwa wakina Draxler, Rabiot na Verrati hawawezekaniki. leo mnaiita vibonde.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji23] [emoji23]swali ninalojiuliza hivi Mathiew na Gomes wamempa nini Enrique hadi hajielewi?
maombi yangu leo mshinde ili nusu iwe R.MADRID vs BARCA
hahahaa
nyie tlrefa akiwa fair mnatoka ila sasa ttzo UEFA inawapendeleaga kshenzi