mi naona Neymar nni figter sana. sema mechi ngumu wanamjia watatu watatu. pia anachezewa sana rafu. kungekuwa na tuzo ya rafu angechukua. paco ni mtu wa kulishwa. Turan naye hatabiriki. inaweza kuwa wazo zuri kumuanzisha Turan, amewahi fanya vema ile nafasi.Neymar mwenyewe huwa hana impact mbele ya carval refer game ya juve Alves alivyokuwa anamdhibiti ..mechi ngumu huwa hajikazi
Kama mbele wakichezeshwa alcacer,sua,messi basi Barca anakufa ,Luis akiwa timamu Turan acheze upande ule
Suarez sio mzuri sana kwenye footwork japo mtaalamu ndani ya box ,paco hivyo hivyo ,na kwenye kiungo Raki amedrop msimu huumi naona Neymar nni figter sana. sema mechi ngumu wanamjia watatu watatu. pia anachezewa sana rafu. kungekuwa na tuzo ya rafu angechukua. paco ni mtu wa kulishwa. Turan naye hatabiriki. inaweza kuwa wazo zuri kumuanzisha Turan, amewahi fanya vema ile nafasi.
Neymar mwenyewe huwa hana impact mbele ya carval refer game ya juve Alves alivyokuwa anamdhibiti ..mechi ngumu huwa hajikazi
Kama mbele wakichezeshwa alcacer,sua,messi basi Barca anakufa ,Luis akiwa timamu Turan acheze upande ule
Nimemtizama vilivyo bado akikutana na timu ambazo zipo aggressive huwa anaanguka anguka na huwa anadribble side way kwenda kulia..Wewe unaongea shudu kabisa umeangalia vizuri performance ya neymar siku za hivi karibuni