FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

18118428_1909516305998913_3619724811192328597_n.jpg


[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Habari ziwafikie PAGAN nkuwi ntuzu iceman Belo na woooote wanaoichukia Fc Barcelona
 
Huyu Roberto inabidi arudi kwenye nafasi yake ili afanye mambo makubwa zaidi, hii ya ubeki atafutwe mtu mwingine tu
Sure S.Roberto ana potential kubwa sana ya kuwa midfielder hatari sana pale kati
 
Marcelo what yesterday did nimemchukia alipiga elbow Messi intentionally, professional player hatakiwi ku behave kama vile it's disgrace and shameful
 
Ile timu imejaa wahuni tu...Real Thugdrid.
Ramos
Pepe
Marcelo
Ronaldo
etc
Sio tu timu hata mashabiki wake hebu angalia hapo mtaani kwenu mashabiki wa Madrid wakoje? Si huku kwetu ni wavuta bangi na wasio na shughuli za maana. Huwa nawaambia watu ukiwa shabiki wa Barca hata lifestyle yako inabadilika unakua mtu flani hivi wa tofauti na kama una watoto jaribu mmoja kumforce ashabikie Madrid mwingine Barcelona halafu angalia academic performance yao hutoamini macho yako!!!!!!!
 
Back
Top Bottom