FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Theo Hernandez wants Barca over Real Madrid

Barcelona are closing in on a deal for Theo Hernandez and the left-back favours a move to Camp Nou over Real Madrid, as he will get more playing time, claim Sport.


Madrid have apparently made it crystal clear that Theo will be back-up to Marcelo and may have to get used to life on los Blancos’ star-studded bench.

Meanwhile, Robert Fernandez has spoken to the player and made it clear that if he opts to move to Barcelona instead, he will see plenty of minutes on the pitch.
 
Kwa hiyo wamemdanganya kuwa Alba atakaa benchi ili acheze,Barcelona wanahitaji sana RB kuziba pengo la Dani Alves LB hata Umtiti anaweza kucheza.Kuna dalili za kuingia mkenge kama walivyokurupuka kumsajili Andre Gomes baada ya kusikia Real Madrid wanamtaka
 
walisema kuwa Alba ataenda Atletico kwa mkopo. huwa anazingua kwenye kupiga pasi za mwisho. huku RB tutafuta msaidizi wa Vidal. ila mengi yanategemea kocha mpya.
 
walisema kuwa Alba ataenda Atletico kwa mkopo. huwa anazingua kwenye kupiga pasi za mwisho. huku RB tutafuta msaidizi wa Vidal. ila mengi yanategemea kocha mpya.
Pamoja na kuwa majeruhi msimu huu Suarez,Neymar na Messi ndio wamemzidi Alba assist kwenye La Liga.Alba ataenda Atletico kufanya nini wakati kule wana Felipe Luis
 
Huyu Messi hatakiwi kulinganishwa na binadamu ,ni kosa kubwa sana anapolinganishwa na human
Mpira hua anauweka na sio kupiga (binadamu huwa wanaupiga) yeye anakua kama yuko playstation kunakua na connection au bond kati ya ubongo wake ,mpira na goal la adui
 
Hii mechi haitakiwi kudroo. Second half wakipanda kusawazisha tunawamaliza
Wepesi sana nimewastukia tunachotakiwa kufanya ni perfection za fowards wakipata nafasi yakufunga wafunge then kidogo....turekebishe human errors kwa mabeki ndizo zilizotu cost
 
Hii ni decisive game and we are good at it ,2nd half tufunge magoli mengine mawili tumuuwe adui mapema am sure yapo nimeona mianya mingi ya hawa Villareal
 
Reactions: PNC
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…