hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 664
- 539
Mkuu naona kama upo wrong barcelona n nafasi ya pili ktk vwango vya fedha afu achana na ivyo barca inauwezo wa kulipa wachezaji ela zuri ka Messi na neymar ndo washndwe kununua ao kina veratti....ishu apo sio fedha bali ni kutokuwa serious ktk usajiliBarca hawana fedha,hawana kocha mwenye ushawishi,hawana kiongozi mwenye ushawishi tangu aondoke Juan Laporta ndio maana wanapata taabu sana kwenye usajili
Kuwalipa Neymar,Messi mishahara mikubwa ni sababu pia ya kutosajili wachezaji wengine ambao wata-demand mishahara mikubwa .Wage bill yao hairuhusu kuwa na wachezaji wengi wenye mishahara mikubwa lakini Neymar +Messi karibia kila msimu wanaongezewa mshaharaMkuu naona kama upo wrong barcelona n nafasi ya pili ktk vwango vya fedha afu achana na ivyo barca inauwezo wa kulipa wachezaji ela zuri ka Messi na neymar ndo washndwe kununua ao kina veratti....ishu apo sio fedha bali ni kutokuwa serious ktk usajili
Si kweli Barcelona haijawahi kuwa na kocha mwenye ushawishi huo kuanzia Rijkaard,pep,Tito,Tata hata lucho mbona classic players wamesajiliwaBarca hawana fedha,hawana kocha mwenye ushawishi,hawana kiongozi mwenye ushawishi tangu aondoke Juan Laporta ndio maana wanapata taabu sana kwenye usajili
Sioni kama hela tatizo kwa barca hasa linapokuja swala la kuwalipa wachezaji
habari njema Kwa cules wote. Semedo kesho anafanya vipimo kujiunga nasi. RB wa kimataifa mwenye miaka 23, *****!
Mbona hujaweka statistics za kina Ada Turan,Paco Alcacer na Andre Gomes ?View attachment 541714
Sometimes kwenye sports hela sio kila kitu huu ni mfano mzuri sana wa hawa jamaa zetu Madrid simply the are wasting money so jamani tulieni tuone Velverde atatufanyia nini so long as we still have best players