FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Taarifa mbaya kwa timu yetu ni kua Neymer kautaarifu uongozi wa fc barcelona kua anataka kuondoka msimu huu kutokana na sababu kuu 2, 1. Amechoshwa kucheza chini ya kivuli cha Lionel Messi so anataka akacheze timu ambaye yeye ndo atakua baba mwenye team, 2. Amechoshwa na utaratibu wa kulipa kodi wa Spain, team 4 zimeonesha nia ya kulipa paundi milioni 175 kwa ajili ya kumnunua Neymer, timu hizo ni Man United, Man City, Real Madrid na PSG ambao wapo radhi kutoa Euro milioni 122 pamoja na kiungo Marco Verati ambaye anatafutwa kwa udi na uvumba na Fc Barcelona ili waweze kumnasa Neymer

Sent from Samsung Galaxy s8+
hizi ni habari mbaya mno. ila sijaziona barcablaugranes.com, huwa wana habari latest. dunia ya sasa hakuna left winger bora kama Neymar. hawezi kuuzwa kirahisi, Barto know better.
 
wakuu tarehe 22 jmosi tutakuwa na mechi ya kirafiki na juventus huko Marekani. juve naona kama watakuwa dhaifu baada ya Alves na bonucci kuondoka.
 
wakuu tarehe 22 jmosi tutakuwa na mechi ya kirafiki na juventus huko Marekani. juve naona kama watakuwa dhaifu baada ya Alves na bonucci kuondoka.
Sidhani kama watakua dhaifu kiivo rejea kuondoka kwa Pogba nafasi yake ikazibwa vizuri sana Pjanic so stil gemu itakua ngumu hasa ukiangalia sisi bado hatujafanya overhul ya midfield

Sent from Samsung Galaxy s8+
 
Neymar akitaka Kuondoka kwa lile dau la Euro 222M ase aamshe tu maana hizo pesa ni nyingi mno na zina thamani kuliko Neymar na tuaeza mchukua Reus au Dembele kwa nafasi ya winga!
 
Neymar akitaka Kuondoka kwa lile dau la Euro 222M ase aamshe tu maana hizo pesa ni nyingi mno na zina thamani kuliko Neymar na tuaeza mchukua Reus au Dembele kwa nafasi ya winga!
Kuondoka kwa Neymar I doubt-timu yoyote atakayokwenda itabidi a spearhead mashambulizi-hapa nina doubts cause Barca amepewa freedom ya kufanya anachotaka stay with the ball,piga chenga,lose possession etc etc cause kuna watu wako standby na wanuwezo huko mbele ku right any wrong any moment. Burden ya kuongoza attack katika mfumo tofauti I think he needs a couple of years of more perfection
 
Kuondoka kwa Neymar I doubt-timu yoyote atakayokwenda itabidi a spearhead mashambulizi-hapa nina doubts cause Barca amepewa freedom ya kufanya anachotaka stay with the ball,piga chenga,lose possession etc etc cause kuna watu wako standby na wanuwezo huko mbele ku right any wrong any moment. Burden ya kuongoza attack katika mfumo tofauti I think he needs a couple of years of more perfection
Ana kadalili ya kukosa loyalty yaani he is not realy loyal mara aseme anafurahi sana kucheza na messi mara adai hataki kuwa chini ya kivuli cha LeoMessi anyway kama psg wataleta hio hela naishauri bodi ya Barca Kumuachiaa!
 
Ana kadalili ya kukosa loyalty yaani he is not realy loyal mara aseme anafurahi sana kucheza na messi mara adai hataki kuwa chini ya kivuli cha LeoMessi anyway kama psg wataleta hio hela naishauri bodi ya Barca Kumuachiaa!
I have this feeling haya maneno hajayasema-ni press zina blow things out of proportion
 
watupe hiyo pesa 122 euro+verrati tutasajili wachezaji wengine halafu pia alex vidal yupo vizuri tuuu
 
watupe hiyo pesa 122 euro+verrati tutasajili wachezaji wengine halafu pia alex vidal yupo vizuri tuuu
Kwa upande wa right back hatuna tatizo tena coz competation ya samedo na Vidal lazima itupe positive result, Neymer ana kila dalili ya kuondoka maana anataka ballon d'or ambayo nadhan hii ndo ilikua nafasi yake kuipat akiwa na jezi ya barcelona maana msimu ujao Messi atacheza nafasi ya kiungo so mashambulizi yote yataongozwa Neymer, huu ndo muda sahihi wa kuonesha ubora wake.

Sent from Samsung Galaxy s8+
 
ikitokea akauzwa kwa hiyo Paundi Milion 175 atavunja record ya usajiri duniani
Ishu siyo kuvunja record ya dunia, ishu ni nani ataziba pengo lake kama pengo la Xavi mpaka leo halijazibwa. Barcelona ni wabovu sana katika usajili kuna taarifa niliisoma mtandaoni ikitokea Neymer akahama aubamiyeng ndo aje kuziba nafasi ya Neymer

Sent from Samsung Galaxy s8+
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Ishu siyo kuvunja record ya dunia, ishu ni nani ataziba pengo lake kama pengo la Xavi mpaka leo halijazibwa. Barcelona ni wabovu sana katika usajili kuna taarifa niliisoma mtandaoni ikitokea Neymer akahama aubamiyeng ndo aje kuziba nafasi ya Neymer

Sent from Samsung Galaxy s8+
Barcelona is bigger then any player,perhaps labda Messi,hiyo hela wasiachie hata kidogo tunaweza kujuta kuikosa.Unasema Barca ni wabovu wa usajili so all these years wamechukua various cups na usajili mbovu??? Inabidi tu reason if Neymar wants out-so be it-sisi wote ni armchair fans tuwaachie watu wa technical dept wafanye kazi yao
 
Ana kadalili ya kukosa loyalty yaani he is not realy loyal mara aseme anafurahi sana kucheza na messi mara adai hataki kuwa chini ya kivuli cha LeoMessi anyway kama psg wataleta hio hela naishauri bodi ya Barca Kumuachiaa!
Siku hizi hakuna loyalty kwenye football
 
Screenshot_2017-07-19-14-30-54-1.png

PRE-SEASON SCHEDULE HII HAPA
na ijumaa (21st July 2017) laliga fixture ya 17/18 inatoka tutakiweka kipande kinachotuhusu
 
Ila maoni yangu kabisa ya rohoni kwangu kama Neymar watamtaka kwa hiyo hela wamruhusu tu mapema...kuna replacement kibao hata yule mbrazil Rafinha au babu Arda Turan ana fit sana tu ,Dogo Dennis Suarez au Mzee wa Ramontada Sergio Roberto anaweza akafundishwa kwenye hiyo namba bila kumsahau Munir Alhadad

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila maoni yangu kabisa ya rohoni kwangu kama Neymar watamtaka kwa hiyo hela wamruhusu tu mapema...kuna replacement kibao hata yule mbrazil Rafinha au babu Arda Turan ana fit sana tu ,Dogo Dennis Suarez au Mzee wa Ramontada Sergio Roberto anaweza akafundishwa kwenye hiyo namba bila kumsahau Munir Alhadad

Sent using Jamii Forums mobile app
If so tumtakie heri-Barca ilicheza soccer zuri sana kabla yeye na Suarez ku join,wao walichoongeza ni flair in which hata kipofu anaweza kuona that a goal is coming-tutamiss jinsi anavyo stretch defenders but life has to go on-hii hela on offer is too good to miss-tutamuombea yasimkute ya Bravo
 
If so tumtakie heri-Barca ilicheza soccer zuri sana kabla yeye na Suarez ku join,wao walichoongeza ni flair in which hata kipofu anaweza kuona that a goal is coming-tutamiss jinsi anavyo stretch defenders but life has to go on-hii hela on offer is too good to miss-tutamuombea yasimkute ya Bravo
Dogo anapenda sana Barca hawezi kuhama trust my word
Sema sijui nani ameanza kuzusha na Msemaji wa Barca ameshasema Neymar is not for sale
 
Dogo anapenda sana Barca hawezi kuhama trust my word
Sema sijui nani ameanza kuzusha na Msemaji wa Barca ameshasema Neymar is not for sale
Goal.com ni wazushi sana, articles zao nyingi ni za kihuni tu , hawana proof ya chochote, na wao ndio wanashikia bango, wewe soma articles zao ukifika sehemu wanasema "goal understand that, " ujue hamna kitu
 
If so tumtakie heri-Barca ilicheza soccer zuri sana kabla yeye na Suarez ku join,wao walichoongeza ni flair in which hata kipofu anaweza kuona that a goal is coming-tutamiss jinsi anavyo stretch defenders but life has to go on-hii hela on offer is too good to miss-tutamuombea yasimkute ya Bravo
Neymar ni heri akabaki Barca akawa under "Messi's shadow" maana hata akiondoka hawezi chukua uchezaji bora wa dunia hivi karibuni, labda afuate hela za PSG.

PSG wachezaji wake wana hulka kama ya wachezaji wa Madrid, hawako kumsaidia mtu kutimiza malengo yake.
 
Back
Top Bottom