Mbona waokota mipira mnao wengiWe tulia kapambane na hali yako kwani umesikia Paulinho atakua first eleven?
Katulie Huko tafuta pa kujificha kesho lazima tukutiee
1.Coutinho ni majeruhi hajagoma ku-train na LiverpoolTetesi za leo
Coutinho amegoma ku train na Liverpool ili kuharakisha transfer yake na preparation zakuelekea FCB
Yeri Mina -sources nyingi za Columbia zimeripoti tayari Barcelona wameshaingia contract naye bado kutambulishwa tu ,vilevile legend wa Barcelona Xavi hakuacha kumsifia kuwa "Yeri ana DNA ya Barcelona na anaweza aka fit kwenye dimba namba yoyote ya katikati"
Kubusu Dembele amewagomea Dortmond hata kufanya mazoezi kwa sababu ni kinyume na makubaliano yao kuwa ataichezea Dortmund ila akihitajiwa na team kubwa yoyote atauzwa
Lakini utata Madrid inasemekana wametoa ofa kubwa zaidi ya Barcelona (double cross) ili kumnasa playmaker huyo
Bellerin hakukataa kujiunga na Barcelona,Huu sasa utani
Semedo alisainiwa baada ya bellerin kukataa kujiunga na Barca
Hii ilikuwa sababu tosha ya kutomsaini huyu dingi?
Kumbuka anacheza soka China baada ya kuchemsha soka la ulayaNi ko very optimistic na huu usajili. Who scored.com. inasema yuko very strong kwenye Tackling na passing hasa short passes. Wanamsifu kuwa hana significant weakness. Msimu uliopita kapiga mechi 20. Katoa assist 2 na kufunga golu saba.
K
Yaani hili zee sijui wametuletea LA nini sasa? wakati vijana chipkizi wapo kibao tu kama vile akina Yeri Mina, Jean Michael Seri n.kHii ilikuwa sababu tosha ya kutomsaini huyu dingi?
Huyu hmna kitu ni kilazaKat ya vitu ambavyo wana fail kwenye utawala huu n kariba ya wachezaj wanaonunuliwa na wanaouzwa.. Inackitsha sana... Varmalein tulipigwa kibut safar hii tena zee lingne.... Yawezekana mishara midogo ama yawezekana pia tunataka ku stick na la masia kwa hyo wakongwe wanakuja kukomaza vijana wetu... Hatujui nia ya board yetu.. Lets wait japo paulinho amekua na msim bora kabsa kwa zaid ya two last season.. Good morning people of bantu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kat ya vitu ambavyo wana fail kwenye utawala huu n kariba ya wachezaj wanaonunuliwa na wanaouzwa.. Inackitsha sana... Varmalein tulipigwa kibut safar hii tena zee lingne.... Yawezekana mishara midogo ama yawezekana pia tunataka ku stick na la masia kwa hyo wakongwe wanakuja kukomaza vijana wetu... Hatujui nia ya board yetu.. Lets wait japo paulinho amekua na msim bora kabsa kwa zaid ya two last season.. Good morning people of bantu
Sent using Jamii Forums mobile app
yupo njia yule klopp keshakubali amewaachia board ndio waamuzi wa mwisho maana keshasema club ni kubwa kuliko mchezaji.....swala muda tuCoutinho Vipi?
Asked about Coutinho’s transfer request, which was emailed to Michael Edwards, Liverpool’s sporting director, Klopp said: “I didn’t get it but I can say something that is maybe more important. As a manager of a football club I have bosses, and if bosses decide, for example, just in general, if we sell a player or we don’t sell him, then I have to accept it. I cannot say anything about it [the transfer request]. I work with the players I have – that is what I’m always doing.”Coutinho Vipi?