FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Ahahaaaah...
Tunafukua fukua makaburi kidogo..!
 
Haya haya wana amsha amsha amsha kwenye playground yetu Bernabeu tunaua nakuchinja kabisa tunatenganisha kiwiliwili na kichwa
Ohoooh
Kocha makosa ya first match hajaweza kuyarekebisha kwa siku 3 lets wait season tunaanza jpili wakuu we love barca for worse and good we support you
Wewe jamaa haueleweki kabisa...
Ni makosa ya kocha au wachezaji wa Barca wanakosa motivation..!?
 
FORCA BARCA FORCA BARCA. Coutinho na Dembele hao wanakuja, tukipata na kiungo mmoja wa kulia tumemaliza usajili, mi naamini tuna timu nzuri ila sehemu izo zina mapungufu
 
Hahahaaa!!! Wahenga wanasema wakati ukuta, vilevile wanasema kutesa kwa zamu. Watu mnajifanya wajuaji wa soka, eti soka la lamasia, na bado uefa mtachezea nyingi mpk mshike adabu zenu, mnaongea porojo mtafikiri mpira mnacheza nyie, kumbe nyuma ya keyboard.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Mara ya kwanza namuona mshabiki anayejiita mwekundu alivyo na roho ngumu ya kutokubali kushindwa..
Kila mtu mpira kauona...kwa sasa hivi Madrid wapo vizuri tofauti na Barcelona..hata Kama ukiwa mpz wa Barcelona inabidi sometimes ukubali na kusema ukweli.

Mi nimefungwa na Real madrid kwenye super cup lakini ukweli Jamaa walideserve bila ubishi wapo vizuri kuliko sisi.

..That's football mate!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…