FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu kocha mpya ana kaz kubwa ya kufanya. Beki na middle ziko vibaya sana. Msimu huu nadhan utakua kama ule wa tata martino. Will be nothing new.
Hatutatoka na ndoo hata moja wazee.
 
Kwa mpira huu. Tushapoteza 6 points kwenye league za elclassico. So, hatuna chetu this season. Sio kwa mpira huu tunaocheza.
 
We uliwahi kukaa lini ukajipinda ukaandika thread hivi na ukaikubali Barca kuwa wanacheza mpira mzuri?hypocrite mashabiki wa man mna uhusiano mkubwa sana na Madrid ,kuhusu kufa kwa Barca kila mwaka mnatabiri sana na ku wish ife but We rise
Nyie Madrid tumewafunga mara ngapi goli 4,5 etc kuna mtu alitabiri li team lenu limekufa?yeah so hiyo unayoiota sio analysis ya team yetu ,you are so biased
 
Tumefanya makosa ndio maana tumefungwa sio analysis zenu uchwara oooh Barca inakufa Barca inakufa kila mwaka

We are in transitional bros and we know it ,kuanzia wachezaji hadi kocha na ndio maana tunaoipenda tunasema we wanna soon come back
Hata mwaka jana Madrid match moja alifungwa na nyingine akatoa draw is there anybody said team yenu mbovu?
 

Basi mimi kwa taarifa yako kule Spain zile mbili mimi nipo upande wa Barcelona bro..tokea enzi za Rivaldo anacheza Barcelona..Siku zote Barca ndio wanacheza mpira mzuri kuliko Madrid sema msimu huu jamaa wapo vizuri..
kunjua roho kubali tu bro...huu mpira tu wala hakuna unacho loose chochote.
 
Issue unaposema barca inakufa mara ngapi Madrid tunawafunga lakini hamna mtu ametabiri their demise,team ikifungwa ndo changamoto kama unajua situation yetu jinsi ilivyo sasa hivi ungesita sana kutoa hiyo conclusion
Hatukatai tumefanya mistakes lakini sio kwa kiasi hicho uwe rational kidogo unapofanya analysis yako ,ndio kwanza tunaunda kikosi baada yakubomolewa for the past 2 seasons

Hata kampeni ya Bartameur out kiini chake bi transfers za players in and out kuna alot of mistakes
 
Reactions: PNC
Kumtaja rivado hakukufanyi ujipe hati miliki ya ushabiki wa barca inshort hatukutambui
 

Hamna sehemu niliyosema Barca inakufa kk..pitia comments zangu zote.
Najua ni kipindi cha mpito barca itarudi kama sisi sasa hivi tunavyoanza kurudi.
 
Hamna sehemu niliyosema Barca inakufa kk..pitia comments zangu zote.
Najua ni kipindi cha mpito barca itarudi kama sisi sasa hivi tunavyoanza kurudi.
Aya mkuu mapito ipende team yako kama kawaida , we unajua tangu Rossel aende jela hadi management imekua changamoto ,Messi tunamtesa sana pale katikati hadi namuonea huruma
Usajili nankuuza wachezaji kwa ajabu ajabu ,halafu hao wenzetu hawajazoea kutufunga ndio maana hatunywi maji
 
Mkuu una hasira nao kwasababu walikukebehi mno na man u yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Team inapitia muda mgumu sana no replacements (subs),no midfield na bado contracting (usajili) unasua ngoja tusubirie this week
 
Reactions: PNC
KIDOOOGO NIMEANZA PATA FURAHA


Coutinho and Dembele are
'close' to joining Barcelona,
claims general manager Segura


Aug 17, 2017


The Blaugrana are chasing both players as they
look to fill the void left by Neymar's world-
record €222m move to Paris Saint-Germain
Barcelona are "close" to completing the double
signing of Philippe Coutinho and Ousmane
Dembele, general manager Pep Segura has
claimed.
The Blaugrana have identified Coutinho, 25, and
Dembele, 20, as their key targets as they look to
fill the void left by Neymar's world-record €222
million move to Paris Saint-Germain.
Goal reported on Friday that Liverpool are not
shifting from their position that Coutinho is not
for sale , despite the Brazil international handing
in a transfer request.
Liverpool have rejected two bids from Barcelona
for Coutinho so far — the last of which totalled
€100 million (£91.6m)
However, speaking in the aftermath of the
Blaugrana's 5-1 aggregate defeat against Real
Madrid in the Super Cup on Thursday, Segura
claimed the star duo are edging closer towards
Camp Nou.
Messi only thing between Barca and mediocrity
Speaking to RAC1 after the match, he said:
"Coutinho and Dembele are both close. We are
hopeful that they will end up wearing the Barca
shirt."
Segura then told TV 3: "Until deals are closed I
can't say anything. We know we have to help
the team and reinforce it and that's what we
are doing."
It was reported in Spanish publication Sport on
Monday that Barcelona had agreed a fee to sign
Borussia Dortmund and France forward
Dembele.
Dembele is currently suspended by Dortmund on
the back of the Bundesliga outfit rejecting a bid
from Barcelona for his services.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…