FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kama coutinho atashaurika kwa vitu vya kijinga nae atakuwa mpuuzi sana
 
Mbona yeye hakushaurika na kina Pique, alisikiliza harufu ya Pesa akasepa, kaondoka dream team acha wenzake waje wacheze!

Anakuwa kama mwanamke aliyemkimbia mumewe kwa tamaa ya pesa halafu anazuia wanawake wengine wasiolewe na ex wake!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani unashindwa hata kukashangaa haka kadogo...Kenchy type kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo mtoto neymar msengerema kweli mwili upo PSG akili bado anafatilia Barca....kwani alilazimishwa kuondoka yeye apambane na hali yake ya psg.
 
Hiyo mtoto neymar msengerema kweli mwili upo PSG akili bado anafatilia Barca....kwani alilazimishwa kuondoka yeye apambane na hali yake ya psg.


Hawa ndio waliotoa hiyo ripoti jana na wameomba radhi ,makosa ya media yanaweza kuleta madhara kweli magu wakati mwingine yupo sahihi


Hivyo mkaushie dogo hakusema hivyo
 
Usajiri si unafungwa kesho SAA 6 usiku feedback za coutinho vp?
 
Jamaa wamesha msajiri Thomas Lemar cjui watatachia coutihno?
 
Arda turani nasikia amegoma kuondoka mpk apate tym inayoweza kumlipa mshahara sawa na anaolipwa barcelona
 
Usajiri si unafungwa kesho SAA 6 usiku feedback za coutinho vp?
Tangu jumamosi imenibidi niwevnarusha updates za coutinho kila siku but before nilishanusa ujio wake na bado nina deni ili niweze kuaminika kwenu Deal la Coutinho ni done
Liverpool na Barcelona tayari wameshafika makubaliano ya mwisho jana kwa kitita cha 160 Mil Euros
Atatambulishwa rasmi ijumaa na kwa sababu yuko Brazil kwenye international break hivyo atakuja moja kwa moja Barcelona

Barcelona sasa hivi wanaangalia possibility ya ku swap Andres Gomes na Angel Dimaria na PSG bila kutoa fedha ,so tuna another confirmed signings
 
Real it is happening Cotinho in da house.....na huyu mu Argentine aje tutaimarisha sana kikosi pale katikati Messi hataumia tena kwa ku make yeye,dribbling yeye ,ku score yeye watu wote wanaojua mpira duniani knows what Messi last season up to date what was doing

 

Kwanini nahitaji sana ujio wa Coutinho?kupitia hii picha unaweza ukajifunza kitu in a nutshel ni kwamba

"Kila upande wa Barcelona utakua fire,tutakua tunashambulia kila upande na kila dakika kulia,kushoto bila kusahau katikati ya dimba "
Hatutatemegea upande mmoja kama kawaida yetu (left flank)

With due respect please Board mlete na huyo Mu Argentina tunajua tayari Cotinho ameshatua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…