tutakuwa wa moto kama upako wa ngwajima yule bishoo atakuwa ana-like picha za wana tu kwenye mitandaoView attachment 577706
Kwanini nahitaji sana ujio wa Coutinho?kupitia hii picha unaweza ukajifunza kitu in a nutshel ni kwamba
"Kila upande wa Barcelona utakua fire,tutakua tunashambulia kila upande na kila dakika kulia,kushoto bila kusahau katikati ya dimba "
Hatutatemegea upande mmoja kama kawaida yetu (left flank)
With due respect please Board mlete na huyo Mu Argentina tunajua tayari Cotinho ameshatua
Gwajima Mkuu sio Ngwajimatutakuwa wa moto kama upako wa ngwajima yule bishoo atakuwa ana-like picha za wana tu kwenye mitandao
Kwann nafasi ya pique asicheze ninja maschelanoView attachment 577706
Kwanini nahitaji sana ujio wa Coutinho?kupitia hii picha unaweza ukajifunza kitu in a nutshel ni kwamba
"Kila upande wa Barcelona utakua fire,tutakua tunashambulia kila upande na kila dakika kulia,kushoto bila kusahau katikati ya dimba "
Hatutatemegea upande mmoja kama kawaida yetu (left flank)
With due respect please Board mlete na huyo Mu Argentina tunajua tayari Cotinho ameshatua
Mkuu hii sio Editing?
Marlon ameshapelekwa kwa mkopo Nice with option yakumleta tenaKwann nafasi ya pique asicheze ninja maschelano
Poa poa masherano kazi kazi yule hatakagi ushogaMarlon ameshapelekwa kwa mkopo Nice with option yakumleta tena
So pale ni Macherano,Umtiti watakua wana swap vilevile hata siku akiumia Basquets Macherano anaweza kufit kwa sababu ni originally defensive midfielder mzee wa inteceptions
Friday wakati market inafingwa will be so official tumevumilia sana lets wait one day left but deal doneMkuu hii sio Editing?
Kwani tarehe 31 si ni leo saa 6Friday wakati market inafingwa will be so official tumevumilia sana lets wait one day left but deal done
Bado mnalishana matango pori na kufarijiana nyie wakiwa pata hii updateFriday wakati market inafingwa will be so official tumevumilia sana lets wait one day left but deal done
Source ya habari yako pleaseBado mnalishana matango pori na kufarijiana nyie wakiwa pata hii update
For 100th time this window have asked LFC the Coutinho question. For 100th time same answer: “Definitive stance. No change… no sale.”
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo ni chris bascombe, reporter wa gazeti la telegraph kutoka viunga vya liverpoolSource ya habari yako please
Usije kuwa unatoa habari kwenye magazeti ya kiu
Ww ni shabiki wa team gan?huyo ni chris bascombe, reporter wa gazeti la telegraph kutoka viunga vya liverpool
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe endelea tu na roho mbayaBado mnalishana matango pori na kufarijiana nyie wakiwa pata hii update
For 100th time this window have asked LFC the Coutinho question. For 100th time same answer: “Definitive stance. No change… no sale.”
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakua ni mwisho wa tarehe 31 yaani saa sita usiku plus hours difference ya sisi na Spain na UK ambazo ziko more westKwani tarehe 31 si ni leo saa 6
Naomba unieleweshe vzr mkuu
Dilisha linafungwa kesho kutwa sasa hapo wasipopata itakuwaje?Liverpool wameiomba fc Barcelona icheleweshe kidogo dili ya coutinho ili watafute m'badala wake ambaye huende ni lemer Wa Monaco au chambelien wa Arsenal so deal ya coutinho ni almost done paundi miluoni 148 wameafikiana clubs zote mbili
eliamini
Liverfool wakapambane na hali yaoLiverpool wameiomba fc Barcelona icheleweshe kidogo dili ya coutinho ili watafute m'badala wake ambaye huende ni lemer Wa Monaco au chambelien wa Arsenal so deal ya coutinho ni almost done paundi miluoni 148 wameafikiana clubs zote mbili
eliamini