FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hadi Barca walichangia ingawa management yake walichangia kuongeza dau
Barca ndio wazinguaji mbona kama nikuelewana walikuwa tayari washaelewana na Seri pamoja timu yake, Nice. Alafu kwa uchizi wa Board wakabwaga manyanga na sababu za kijinga eti "technical reason". Fundi Xavi alishamwona dogo at least ndio mchezaji wa kaliba yake, alafu barca wakaleta sababu ambayo haipo....

Uongozi wa barca hauna miongozo, mipango na Sera za namna ya kuendesha timu sijui? Jibu ni hapana, tatizo naona maandiko yote kama haya hayafuatwi na uongozi huu Bali wanaongoza kwa mizuka ya vichwa vyao tu. Ndio kila siku ilikuwa ni rumazi za kumtaka mchezaji mpya, tofauti na vilabu vingine....

Jinga sana Bartomeu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka kujua board ya Barca ni ya hovyo, angalia wao wakitaka kuuza wachezaji tena waliowasajili wao wenyewe wanauza kwa shs ngapi na wakitaka kununua mchezaji wananunua kwa shs ngapi
 
Hayo yote tisa siyo siku nyingi tutasaga meno ukweli lazima usemwe msiseme sikuwaambia ni hivi Messi ile contract hakusaini
Yeye na Iniesta by January wanakua free players ,they can go anywhere they want
Na hii management ya kiboya sijui kama wataweza kuwazuia
 
Tuombe tucheze vizuri hadi January. Vinginevyo anaweza sepa kweli. Hata biblia inashauri tusishirikiane na wapumbavu.
 
Leo saa nne kasoro robo kytakuwa na mechi kati ya Spain na Italy.
 
Na iwe hivyo tu, huwezi kubaki kwenye club ambayo haina "mission" na "vision" au kama zipo hazifuatwi. Kenge kabisa hawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na maumivu ya kutolewa mapema UEFA kwa timu kama Barca na maumivu ya kufungwa na Madrid.
 
Reactions: PNC
Soler ni nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…