Chausiku siyo Chamchana
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 379
- 230
Swali ni je, sababu za Israel kucheza soka barani Ulaya na iko Asia zinafit kwa Barca kucheza La Liga endapo Catalan watajitenga kwa Spain?Hii nayo itakuwa poa sana. Mbona israel inacheza soka bara la ulaya na iko Asia na hakuna noma.