Hakika barca wameanza vizuri sana msimu huu na nnaona dalili za ubingwa zileee!! Kwa hiyo kitakwimu barca ni bora zaidi ya timu nyingine zote laliga.Kwa kuangalia takwimu timu ipi ni bora msimu huu? Maana unauliza ishu za football 101.
Zamani nilikuwa nawaonea sana huruma real maidiridi mlipokuwa mnawafunga kwa vipigo vya aibu, sasa siku hizi nimejikuta nawaonea huruma nyie naona mtateseka sana msimu huu.Kwanini unauliza hivi mkuu....?
Basi kumbe wewe sio mfuatiliaji wa mpira kama hadi leo huwezi kuona kuwa barca ime improve na kuendelea kuona kuwa barca ni mnyonge mbele ya madrid basi endelea kusubiri na matokeo utayapata mwisho wa msimu......[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Zamani nilikuwa nawaonea sana huruma real maidiridi mlipokuwa mnawafunga kwa vipigo vya aibu, sasa siku hizi nimejikuta nawaonea huruma nyie naona mtateseka sana msimu huu.
Hivi kuna mtu wa kumzuia Isco pale kweli?
Tutakufunga weweHivi nyie mtamfunga real madiridi kweli msimu huu?
Kikosi kipana kilichofungwa na betsHakika barca wameanza vizuri sana msimu huu na nnaona dalili za ubingwa zileee!! Kwa hiyo kitakwimu barca ni bora zaidi ya timu nyingine zote laliga.
Lakini sasa kwenye mechi dhidi ya Madrid, je mataweza kweli kumkalisha real madiridi ambayo inaonekana msimu huu ina kikosi kipana na kilichotengemaa kuliko nyie!?
Dada mambo?Saikolojia yenu haiko sawa... Kisaikolojia hamko mchezoni kabisa...
Maandamano, mabomu ya machozi na vurugu zinazoendelea Catalunya zimeshawapa presha....
Hamjui hatma yenu endapo Madrid Goverment ikiamua kuwaachia Uhuru wenu, mnafukuzwa La Liga.
Kumamake ombeni Madrid Government wapeleke FFU kutuliza vurugu. La sivyo RIP UEFALONA
Na leo mnapigwa tuu... Saikolojia yenu haiko mchezoni tena.
We Kilaza subiri mda ufike uje utueleze.Saikolojia yenu haiko sawa... Kisaikolojia hamko mchezoni kabisa...
Maandamano, mabomu ya machozi na vurugu zinazoendelea Catalunya zimeshawapa presha....
Hamjui hatma yenu endapo Madrid Goverment ikiamua kuwaachia Uhuru wenu, mnafukuzwa La Liga.
Kumamake ombeni Madrid Government wapeleke FFU kutuliza vurugu. La sivyo RIP UEFALONA
Na leo mnapigwa tuu... Saikolojia yenu haiko mchezoni tena.
Baada ya game, rudi hapa hapa. Fyoko Wewe!!!.Saikolojia yenu haiko sawa... Kisaikolojia hamko mchezoni kabisa...
Maandamano, mabomu ya machozi na vurugu zinazoendelea Catalunya zimeshawapa presha....
Hamjui hatma yenu endapo Madrid Goverment ikiamua kuwaachia Uhuru wenu, mnafukuzwa La Liga.
Kumamake ombeni Madrid Government wapeleke FFU kutuliza vurugu. La sivyo RIP UEFALONA
Na leo mnapigwa tuu... Saikolojia yenu haiko mchezoni tena.
Kumbe masherano ni namba 6?Atletico Bilbao mnazo sababu kubwa 3 kuwafunga hawa Mbwa Leo:
1. Bibi yao Iniesta kavunjika kiuno, pale kati leo njia nyeupeee...
2. Dada Maserano amekuja kusindikiza tu timu, hataingia uwanjani. Namba sita njia nyeupee...
3. Wana uchovu wa Maandamano, Mabomu ya machozi ya jana wakidai waachiwe Catalonia yao kutoka kwa Mabepari wa jiji la Madrid.ila Mimi natamani ningeolewa na pique .
Huyu msichana sijui ameshavunja ungo?Saikolojia yenu haiko sawa... Kisaikolojia hamko mchezoni kabisa...
Maandamano, mabomu ya machozi na vurugu zinazoendelea Catalunya zimeshawapa presha....
Hamjui hatma yenu endapo Madrid Goverment ikiamua kuwaachia Uhuru wenu, mnafukuzwa La Liga.
Kumamake ombeni Madrid Government wapeleke FFU kutuliza vurugu. La sivyo RIP UEFALONA
Na leo mnapigwa tuu... Saikolojia yenu haiko mchezoni tena.
Yeah ngoja tucheki hiyo MkuuHuyu msichana sijui ameshavunja ungo?
Lets go leo tunaona game Velverde against former team tunatakiwa tushinde nyingi sana ndo nature inavyosema yuko na better club