Hata mimi hii inanishanganzaNaona don ni mgonjwa leo.tunapiga 442. Semedo sijui kamkosea nini EV.
.
Yeah nimeona lakini lazima arudi tena namjuaJamaa walitaka kututupia hapa. Hiki kiinyaki siyo kimtu poa.
Umeamini kama lazima nilivyokuambia atarudi?commentor anashangaa Paulinho alikua wapi siku zote cos ni typically Barcalena player despite criticism ya signing yakeMessi kakosa goli la wazi hapa.
Speaking of the devil. Kapiga post hapa.Umeamini kama lazima nilivyokuambia atarudi?commentor anashangaa Paulinho alikua wapi siku zote cos ni typically Barcalena player despite criticism ya signing yake
Ha ha ki football lile ni goli cos akipiga mara mbili lazima atie kwenye kambaSpeaking of the devil. Kapiga post hapa.
kuna dogo MD ana 18 anaitwa Oriol Busquets naona yuko sub. Una ABC zake?Ha ha ki football lile ni goli cos akipiga mara mbili lazima atie kwenye kamba
Halafu Paulinho huyu ni beast nouma tayari within a short time ameshatengeneza dual na Messi ,tena Messi is so eager akiwa anampasia mpira Paulinho tena sometimes hua anamtafuta sana
Huyu dogo honestly simjua tofauti na Carles Arena halafu juzi kuna dogo kafunga kwenye Debut somebody Jose Arnaiz ....nasikia ni mzuri sana nitatafuta kwenye arhieve zaoK
kuna dogo MD ana 18 anaitwa Oriol Busquets naona yuko sub. Una ABC zake?
Kench type! Wewe fyoko kweli, lete tena fyoko fyoko zako hapa! Dadadadeki!!!Atletico Bilbao mnazo sababu kubwa 3 kuwafunga hawa Mbwa Leo:
1. Bibi yao Iniesta kavunjika kiuno, pale kati leo njia nyeupeee...
2. Dada Maserano amekuja kusindikiza tu timu, hataingia uwanjani. Namba sita njia nyeupee...
3. Wana uchovu wa Maandamano, Mabomu ya machozi ya jana wakidai waachiwe Catalonia yao kutoka kwa Mabepari wa jiji la Madrid.
Pigeni hawa Mbwa kesho niamke na hela ya supu.