Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
Mpira umekwisha kama magoli yote ya Madrid yangehehesabika ingekuwa Madrid 3 Barca 2!
FF Asalaam Alekum! Pressure zikohigh hapa, mabo ya jukwaa haijali!
Gap la point saba 7 ni kubwa aise inabiodi timu ikaze buti
Titles are won in May not January, mechi 18 ni nyingi sana usihofu.Gap la point saba 7 ni kubwa aise inabiodi timu ikaze buti
Jipeni moyo!Titles are won in May not January, mechi 18 ni nyingi sana usihofu.
Jipeni moyo!
hizi timu ndogo zimekuwa zikadhia kweli daah ila we still hope visca el barca