FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

KUELEKEA MECHI YA REAL MADRID v ATLETICO MADRID

-Benzema Majeruhi hatokuwepo.
-Marcelo ana kadi mbili za Njano, kwahiyo atakuwa jukwaani akiangalia wenzao wanavyokalishwa.
-Gareth Bale majeruhi kwa wiki mbili.
-Modric nje kwa mwezi mmoja na wiki mbili.

JUMATANO TUJITOKEZE KUMSHABIKIA ATLETICO MADRID ILI ATOKE NA USHINDI MZITO.

Mimi naamini kwa majeruhi haya, hata ktk League atapata matokeo mabaya.
Ingekuwa hiari yangu hii timu ningeipeleka Italy, Siipendi vibaya mno.
 
PSG karibuni CAMP NOU!!!!!!!
 

Attachments

  • 1429604995893.jpg
    1429604995893.jpg
    56.9 KB · Views: 60
  • 1429605025615.jpg
    1429605025615.jpg
    65.4 KB · Views: 60
  • 1429605053200.jpg
    1429605053200.jpg
    72.4 KB · Views: 61
Safiii dady wangu Aleyn leo umekuwa sharp hadi raha zimwage picture kibao kupendeze humu.

Dady usiwachukie hivyo RM hao ndo wanatufanya tuwe juu bila hao kina Messi tungewaona si lolote au umesahau dady ile methali usijisifu kwa mbio ulio nazo msifie na anayekukimbiza.........lol
 
Last edited by a moderator:
Safiii dady wangu Aleyn leo umekuwa sharp hadi raha zimwage picture kibao kupendeze humu.

Dady usiwachukie hivyo RM hao ndo wanatufanya tuwe juu bila hao kina Messi tungewaona si lolote au umesahau dady ile methali usijisifu kwa mbio ulio nazo msifie na anayekukimbiza.........lol

Dotta nmekumiss!!!!
 
Last edited by a moderator:
Dotta nmekumiss!!!!

Nami zaidi Daddy sasa nina nguvu baada ya kile kichapo acha tu......leta mapicha tufurahi humu usisahau na kuweka vikosi vya leo....

Daddy nimeskia leo Silva yupo na Valeti ,inabidi tujipange sana maana nao wanasema zile bao wanataka zirud waingie kwa nusu fainali....
 
Nami zaidi Daddy sasa nina nguvu baada ya kile kichapo acha tu......leta mapicha tufurahi humu usisahau na kuweka vikosi vya leo....

Daddy nimeskia leo Silva yupo na Valeti ,inabidi tujipange sana maana nao wanasema zile bao wanataka zirud waingie kwa nusu fainali....

-Silva OUT.
-Luiz, Ibrahimovic na Verrat wote wapo ndani.
-Achana na hisia za watu, HAKUNA TIMU YA KUMFUNGA BARCA 3-0 Camp Nou kwa Karne hii.
 
hahahahahahahahahahaaha eti una nguvu baada ya kile kichapo cha Chelsea, hahahahahahahhahahahahahahaha!!!!!!!!!!! Nkikunbuka nacheka sana ndo maana nkaamua ninyamaze kule kwa PM.
 
KUELEKEA MECHI YA REAL MADRID v ATLETICO MADRID

-Benzema Majeruhi hatokuwepo.
-Marcelo ana kadi mbili za Njano, kwahiyo atakuwa jukwaani akiangalia wenzao wanavyokalishwa.
-Gareth Bale majeruhi kwa wiki mbili.
-Modric nje kwa mwezi mmoja na wiki mbili.

JUMATANO TUJITOKEZE KUMSHABIKIA ATLETICO MADRID ILI ATOKE NA USHINDI MZITO.

Mimi naamini kwa majeruhi haya, hata ktk League atapata matokeo mabaya.
Ingekuwa hiari yangu hii timu ningeipeleka Italy, Siipendi vibaya mno.

Kwa sababu hupapendi sana Italy, au?
 
-Leo ndo tunampiga mtu kisha tunamsubiri Porto.
-Juve tunawasubiri final.
 
hahahahahahahahahahaaha eti una nguvu baada ya kile kichapo cha Chelsea, hahahahahahahhahahahahahahaha!!!!!!!!!!! Nkikunbuka nacheka sana ndo maana nkaamua ninyamaze kule kwa PM.

Dady huna mapenzi kabisa na dota wako yaani unacheka hivyo!!!
 
Ngoja nikawatafute wababe wako kule buguruni maeneo ya kimboka waje wakupige tena roba

hahahaahahahahaahahahahahahahahahaahahhaahhaaha, ujana mambo ya moto. Kipindi hiko niliomba hadi nauli, nikaapa nitamrudishia, na namba zangu akachukua basi ikawa kimyaaaa. Jamaa kila akinitafuta nikawa nampotezea
 
Wale Porto hawana adabu wale, me siwataki kabisaaa

Soka mchezo wa ajabu sana wengi wetu tulipoona ratiba ya UEFA Robo fainali tulisema Bayern kaokota dhahabu kariakoo matokeo yake ikawa vice versa, nilikuwa nafatilia maongez yao wanapromise kwamba yale magoli yanarud na cha kutia moyo naona majeruhi yao yamerudi.... Leo hatumwi mtoto dukani....... Duh!! Na kesho unga robo usicheze mbali nitakuja kama kawaida kukupa sapot.
 
Soka mchezo wa ajabu sana wengi wetu tulipoona ratiba ya UEFA Robo fainali tulisema Bayern kaokota dhahabu kariakoo matokeo yake ikawa vice versa, nilikuwa nafatilia maongez yao wanapromise kwamba yale magoli yanarud na cha kutia moyo naona majeruhi yao yamerudi.... Leo hatumwi mtoto dukani....... Duh!! Na kesho unga robo usicheze mbali nitakuja kama kawaida kukupa sapot.

-Porto waliwaokota Bayern wakiwa majeruhi.
-Na mpaka leo bado majeruhi ila kwa leo ngoma itakuwa si mchezo Allianz Arena ijapokuwa mimi naona safari imeiva ya Bayern.
 
-Porto waliwaokota Bayern wakiwa majeruhi.
-Na mpaka leo bado majeruhi ila kwa leo ngoma itakuwa si mchezo Allianz Arena ijapokuwa mimi naona safari imeiva ya Bayern.


Karibu pale Emirates siku ya j2 saa 12 jioni uone Yule babu Wenger ule ugonjwa Wa kuanguka unarudi.
 
Back
Top Bottom