FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Karibu pale Emirates siku ya j2 saa 12 jioni uone Yule babu Wenger ule ugonjwa Wa kuanguka unarudi.

Siangaliagi EPL, hata Game ya Chelsea na Man U niliombwa tu kuangalia sababu niliambiwa Man U kabadilika.
 
hahahaahahahahaahahahahahahahahahaahahhaahhaaha, ujana mambo ya moto. Kipindi hiko niliomba hadi nauli, nikaapa nitamrudishia, na namba zangu akachukua basi ikawa kimyaaaa. Jamaa kila akinitafuta nikawa nampotezea

Ulikua na tabia mbaya lol, fanya umtafute umpe bia tatu na misimbazi hata miwili, huoni aibu dota anakusikia? everlenk unajua huyu daddy wako kilimpata nini mpaka akapigwa roba huko buguruni?
 
Last edited by a moderator:
Soka mchezo wa ajabu sana wengi wetu tulipoona ratiba ya UEFA Robo fainali tulisema Bayern kaokota dhahabu kariakoo matokeo yake ikawa vice versa, nilikuwa nafatilia maongez yao wanapromise kwamba yale magoli yanarud na cha kutia moyo naona majeruhi yao yamerudi.... Leo hatumwi mtoto dukani....... Duh!! Na kesho unga robo usicheze mbali nitakuja kama kawaida kukupa sapot.

Bayern walipatwa na dhahma ya mreno, that's all I know, hakuna anayejua kuwa hao majeruhi wangekuwepo matokeo yangekua mengine
Majeruhi wao wamerudi hivi, sio wameongezeka?
Karibu sana JF's sports lady of all time, karibu sana kwa Majuventini, you're such a darling everlenk
 
Last edited by a moderator:
Ulikua na tabia mbaya lol, fanya umtafute umpe bia tatu na misimbazi hata miwili, huoni aibu dota anakusikia? everlenk unajua huyu daddy wako kilimpata nini mpaka akapigwa roba huko buguruni?

Aiseee!! Alivyoongea hapo aibu nimeona mimi...... Niambie kilimpata nini maana ananificha kweli????
 
Last edited by a moderator:
Bayern walipatwa na dhahma ya mreno, that's all I know, hakuna anayejua kuwa hao majeruhi wangekuwepo matokeo yangekua mengine
Majeruhi wao wamerudi hivi, sio wameongezeka?
Karibu sana JF's sports lady of all time, karibu sana kwa Majuventini, you're such a darling everlenk

Thank you so much.....
 
Last edited by a moderator:
Ulikua na tabia mbaya lol, fanya umtafute umpe bia tatu na misimbazi hata miwili, huoni aibu dota anakusikia? everlenk unajua huyu daddy wako kilimpata nini mpaka akapigwa roba huko buguruni?

hahahahahahahahahaha taratibu mtu mzima mwenzangu, mimi na wewe tumetoka mbali.
 
Last edited by a moderator:
Bayern walipatwa na dhahma ya mreno, that's all I know, hakuna anayejua kuwa hao majeruhi wangekuwepo matokeo yangekua mengine
Majeruhi wao wamerudi hivi, sio wameongezeka?
Karibu sana JF's sports lady of all time, karibu sana kwa Majuventini, you're such a darling everlenk

-Dota wangu mjanja mjanja sana kama mama yake yaani.
-Ila mama yake sitaki aje sababu ya watu kama nyie
-Naona mwishoni umeweka vikorombwezo kuhusu mtoto wangu, mambo hayo ndo yanafanya sitaki mke aje huku.
 
Last edited by a moderator:
My pleasure
Umeona daddy wako kanisihi nimtunzie siri yake? Basi hii story iweke pending, tutakua tunaitumia kama blackmail kumlazimu mshua wako aangalie EPL

hahahahahahahahahahaha yaani utanifanya niache kula kachori zangu na juice ya ukwaju.
hahahahahahahahahahaha
 
-Dota wangu mjanja mjanja sana kama mama yake yaani.
-Ila mama yake sitaki aje sababu ya watu kama nyie
-Naona mwishoni umeweka vikorombwezo kuhusu mtoto wangu, mambo hayo ndo yanafanya sitaki mke aje huku.

Tabu yako ndugu yangu bado hujakua mazima, bado una chembechembe za zile akili za kibuguruni 😜
Binti yako ni mtu safi sana na she deserves every credit she gets, angalia comments nyingi za wanasports wa JF utaona wengi kama sio wote wanamkubali sana bintiyo, ila tu kwa sababu ni buluda kasema hayo basi imekua nongwa, lol
Lakini pamoja na hayo mzee mwenzangu, ukiwa na binti tegemea kuitwa Mkwe
 
Tabu yako ndugu yangu bado hujakua mazima, bado una chembechembe za zile akili za kibuguruni 😜
Binti yako ni mtu safi sana na she deserves every credit she gets, angalia comments nyingi za wanasports wa JF utaona wengi kama sio wote wanamkubali sana bintiyo, ila tu kwa sababu ni buluda kasema hayo basi imekua nongwa, lol
Lakini pamoja na hayo mzee mwenzangu, ukiwa na binti tegemea kuitwa Mkwe
-Hahahahahahaha yaishe, tuachane na hayo.
-Pogba anarudi lini?
-Barca nao wameingia ktk mbio za kukamata sign ya huyu dogo, itakuwa ni vizuri sana coz anaenda kuziba pengo la Iniesta, mpaka sasa Barca safu ya kiungo ikitokea majeruhi basi imekula kwetu.
-Tunamhitaji sana huyu jamaa. Akija Barca namba atapata, tangu kuondoka kwa Guardiola timu imeacha mambo ya Ukatalunya.
-Laiti angekuwa Pep sidhani kama hata Neymar au Suarez wangecheza mechi nyingi kama Luncho anavyofanya. Tungeshuhudia mmoja wapo anakaa bench huku Pedro akianza.
 
-Hahahahahahaha yaishe, tuachane na hayo.
-Pogba anarudi lini?
-Barca nao wameingia ktk mbio za kukamata sign ya huyu dogo, itakuwa ni vizuri sana coz anaenda kuziba pengo la Iniesta, mpaka sasa Barca safu ya kiungo ikitokea majeruhi basi imekula kwetu.
-Tunamhitaji sana huyu jamaa. Akija Barca namba atapata, tangu kuondoka kwa Guardiola timu imeacha mambo ya Ukatalunya.
-Laiti angekuwa Pep sidhani kama hata Neymar au Suarez wangecheza mechi nyingi kama Luncho anavyofanya. Tungeshuhudia mmoja wapo anakaa bench huku Pedro akianza.

Pogba hakuna taarifa zozote zinazoonesha kwamba atarudi hivi karibuni, taarifa za mwanzo zilisema atakua nje mpaka mwezi May
Karibuni mtuletee mpunga tu, lakini nyie si mna ile ban ambayo hamuwezi kusajiri kwa sasa? Labla abaki mpaka msimu ujao ndio mtampata lakini kwa namna ambavyo mafisi wanammendea, itakua miujiza kama hatoondoka msimu huu
Kwa kweli ukiwaondoa wale watatu wakali pale mbele, then Iniesta, Bosquest na Rakitic, mna team ya kawaida sana asee na Iniesta kachoka sana ndio maana anaumiaumia kila mara, bila usajiri msimu ujao mtakuwa na wakati mgumu sana
 
My pleasure
Umeona daddy wako kanisihi nimtunzie siri yake? Basi hii story iweke pending, tutakua tunaitumia kama blackmail kumlazimu mshua wako aangalie EPL

Sawa nimekuelewa msitiri hapa hadharan ila akileta fujo zake tu wewe niambie hiyo siri yake.......
 
Back
Top Bottom