FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

huku bayern kesha ua mtu
bayern.jpg
 
-Mpira wa leo wa Bayern ndo atacheza kesho Atletico Madrid ndani ya Santiago Bernabeu!!!
 
-Bayern leo mwisho wenu wa kushinda goli nyingi, mkikutana na Juve au Atletico au Barca huu mpira hamtaweza kushinda hizi goli kirahisi.
 
Usilale bana game zuri hivi unaanzaje kulala!!!

Yani hapa na TV nimezima kabisa...haya matimu hayana ata upinzani.....au upinzani mpk yamuone baba wangu Mourinho tu... Hebu waangalie na hao Porto...wamefika Munich kz kusema Shikamooo Guadiora. Wamekula 5 ndani ya dk 45 sasa kipindi kingine si watakua 10? Hakuna mpira Wa kutizama Leo ngoja kesho kwa kibibi kizee cha Turin huko kitakua Monaco kinajikongoja....

Chao mamito.
 
Hivi droo za uefa champion league hufanyika hatua gani

Kwenda Semi Finals pia huwa kuna droo...

24 April kutakuwa na droo ya kujua nani nani wanakutana kwa mwaka huu...

cc Ntuzu
 
Last edited by a moderator:
Yani hapa na TV nimezima kabisa...haya matimu hayana ata upinzani.....au upinzani mpk yamuone baba wangu Mourinho tu... Hebu waangalie na hao Porto...wamefika Munich kz kusema Shikamooo Guadiora. Wamekula 5 ndani ya dk 45 sasa kipindi kingine si watakua 10? Hakuna mpira Wa kutizama Leo ngoja kesho kwa kibibi kizee cha Turin huko kitakua Monaco kinajikongoja....

Chao mamito.

Ndo soka hilo baba mpira unadunda ila leo PSG wamepotea naona bora hata last week....
 
Back
Top Bottom