FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

-Kuja kwa Vermaelen at least kutatutoa stress ktk safu ya mabeki.
-Ila pale kwa viungo ndo kuna shida. Rakitic jamaa anajitahidi kiasi chake ila ni bora kama Cesc Fabregas angebaki.
basi kwa upande wa viungo isikupe tabu mtu mzima iniesta kiwango kimerudi ulimuona gem ya psg alivyo wakimbiza na rakitic dogo yupo poa kuna dogo mwengine sergi roberto kakulia pale la masia yuko fiti tatizo ni beki kuna huyu marc barta bado mchanga utakumbuka gem ya final copa del rey hakuweza kumdhibiti gareth bale
 
ila ujio wa vermaelen kutasaidia sana ila jamaa mwenyewe miezi 2 uwanjani miezi 5 injuary
 
basi kwa upande wa viungo isikupe tabu mtu mzima iniesta kiwango kimerudi ulimuona gem ya psg alivyo wakimbiza na rakitic dogo yupo poa kuna dogo mwengine sergi roberto kakulia pale la masia yuko fiti tatizo ni beki kuna huyu marc barta bado mchanga utakumbuka gem ya final copa del rey hakuweza kumdhibiti gareth bale

-Rafinha, huyu jamaa namkubaki sana na left foot yake.
-Marc Bartra ni mzuri ila sio kwa Game kubwa, msimu ulipita hata UEFA kacheza yeye robo fainali, na ule msimu tuliotolewa na Bayern nusu fainal kacheza yeye pia.
 
Barca haina na HAIJAWAHI kuwa na tatizo la KIUNGO!

Tatizo sugu la Barca kwa miaka ya karibuni ni Beki ya Kati (the right man to partner Pique) Na Sahiv tatizo lipo/litakuwepo zaid katika namba 2 (RB), Montoya bado sana! Na hiz ni nafas ambazo Barca wanazembea kuziImarisha tangu last season! Mathieu and Vermalen siyo Proven CB's wa kuichezea Barca, Bartra needs to learn more, (walitakiwa wampelekea sehem kwa mkopo), last season waliteta ubahili kwa Marquinho wa PSG, but thank God they never signed MANGALA, LOL!

Sergi Roberto bado saaaaana, na kupata mrithi wa iniesta wanatakiwa kuspend BIG, iniesta mpira wake unakaribia kuisha, so club lazima iAct fast, I can see them going full in for Coutinho!
 
Barca haina na HAIJAWAHI kuwa na tatizo la KIUNGO!

Tatizo sugu la Barca kwa miaka ya karibuni ni Beki ya Kati (the right man to partner Pique) Na Sahiv tatizo lipo/litakuwepo zaid katika namba 2 (RB), Montoya bado sana! Na hiz ni nafas ambazo Barca wanazembea kuziImarisha tangu last season! Mathieu and Vermalen siyo Proven CB's wa kuichezea Barca, Bartra needs to learn more, (walitakiwa wampelekea sehem kwa mkopo), last season waliteta ubahili kwa Marquinho wa PSG, but thank God they never signed MANGALA, LOL!

Sergi Roberto bado saaaaana, na kupata mrithi wa iniesta wanatakiwa kuspend BIG, iniesta mpira wake unakaribia kuisha, so club lazima iAct fast, I can see them going full in for Coutinho!
you are right ila kwa marquinho c ubahili tuu bali hata psg walimshawishi asiondoke na kumuengezea dau na jamaa wenyewe hakua tayari kuja barca kama vile david luis barca walimtaka sana david luis lakini mapendekezo yake alienda psg ila ban ikiisha hapo 2016 tunamn'goa tiago silva psg
 
you are right ila kwa marquinho c ubahili tuu bali hata psg walimshawishi asiondoke na kumuengezea dau na jamaa wenyewe hakua tayari kuja barca kama vile david luis barca walimtaka sana david luis lakini mapendekezo yake alienda psg ila ban ikiisha hapo 2016 tunamn'goa tiago silva psg

By that time, Thiago Silva we'll be finished, and Age factor itakuwa ni kikwazo!
 
chebi na Aleyn Getafe haooo..... Mechi ya leo ni muhimu sana hatutakiwi kupoteza wala droo ,point 3 ni muhimu sana kuliko kitu chochote kile.....#VamosBarca
 
Last edited by a moderator:
chebi na Aleyn Getafe haooo..... Mechi ya leo ni muhimu sana hatutakiwi kupoteza wala droo ,point 3 ni muhimu sana kuliko kitu chochote kile.....#VamosBarca
tukikumbuka hawa getafe gem ya away walitusumbua sana pale dimbani kwao wakalazimisha mechi kutoka droo ya 0-0 ila pia tulipoteza addvantage nyingi ila leo watakiona ukizingatia tupo ,katika mbio za kutaka kutafuta ubwinga na zaidi ni home camp nou varmos barcaaaaa!!!
 
Leo nitakuwa hapa muda wa Game.
mpira ukianza jukwaani mna niacha peke yangu kidogo mwanangu everllink hua ananipa suport
:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
 
Achana na wale washamba.

We ndo mjanja kwan.........leo ntakufata hadi huko huko kwa mumy usipoonekana hapa, leo hamna hata mapicha picha kabisa hapa...... chebi wapi picha sijaona kikosi cha leo ......
 
Last edited by a moderator:
We ndo mjanja kwan.........leo ntakufata hadi huko huko kwa mumy usipoonekana hapa, leo hamna hata mapicha picha kabisa hapa...... chebi wapi picha sijaona kikosi cha leo ......
nipoo mwanangu hapa ndio najitayarisha kutupia usiwe na wasi
 
Line up
LINNE UP.jpg
 
Back
Top Bottom