everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,027
....ai we mbaya..!! ukienda upande wa pili unawaliwaza, ukirudi huku unawanyonga!!
Hahhahahah nilienda kuwapa pole best zangu si unajua tena tushashinda mechi hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....ai we mbaya..!! ukienda upande wa pili unawaliwaza, ukirudi huku unawanyonga!!
Safiiiiiii
Suarez kapiga la 4
Ronaldo yupo jaman
WAP cute b jamaniii
Mnacheza na yanga au? Naona maluweluwe
Ila real madrid na barca huwa ni wazee wa kuoteana
Kama kawaida tupo hapa leo WAP cute b everlenk chebi A.Kunambi na wengineo woooooote Mafans wa Barca hata wale wasio wa Barcelona Mama a atoto ni FC BARCELONA miamba ya Catalonia vs Real Madrid wazee wa kupoteza muda SAA 2 :15 kwa masaa ya kibongo na ukichelewa dakika 5 unamkuta King Messi kazama Mara mbili wavuni
Barca hoyeeeeee
Poyeeeeeeeeeee hapa bado mchepuko wa pili unipe raha.....Juve yako sijui itatoka ????
Tunacheza na Taifa star aka wazee wa 7up