FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

12341412_920313258052871_2459198840451106789_n.jpg

Mkuu unapambana sana na Barcelona ila nakukaribisha hapa jukwaani mida ya SAA 4:45 usiku
 
Viva barca acha Leo tuionyeshe dunia we are more than a club
 
leo hakuna Neymar (majeruhi), Iniesta, Alves, "busketi", macherano, Pique na suarez. naona wamehifadhiwa kwa weekend na katikati ya wiki ijayo japan.
 
leo hakuna Neymar (majeruhi), Iniesta, Alves, "busketi", macherano, Pique na suarez. naona wamehifadhiwa kwa weekend na katikati ya wiki ijayo japan.

Wangekuwepo hao jamaa, mpaka saizi ingekuwa tano bila!
 
Hii gem ya leo tulitaka kumzawadia liverkuzen aingie 16 lakini imedhihiri kua hata watoto kutoka lamasia hawashikiki wee angalia pique. Masherano. Suarez. Neymar. Alves. Iniesta. Bousqet . Wote hao out still wameshindwa kupenya 16 bora barca kiboko yao
gem kama hii ya leo nakumbuka ilikua season 2012 hivi kina cristian tello na alcantara na muniesa waliwapiga liverkusen 7 pale pao tena daah ukiichukia barca unajitia ugonjwa wa moyo
 
Hii gem ya leo tulitaka kumzawadia liverkuzen aingie 16 lakini imedhihiri kua hata watoto kutoka lamasia hawashikiki wee angalia pique. Masherano. Suarez. Neymar. Alves. Iniesta. Bousqet . Wote hao out still wameshindwa kupenya 16 bora barca kiboko yao
gem kama hii ya leo nakumbuka ilikua season 2012 hivi kina cristian tello na alcantara na muniesa waliwapiga liverkusen 7 pale pao tena daah ukiichukia barca unajitia ugonjwa wa moyo

Game ya pili tuna draw
 
Sikufahamu kuwa hadi na ulaya nako wanauzaga mechi had leo
JANA BARCA KAUZA MECHI SIJAWAIONA MPIRA MBOVU KAMA WA JANA YANI MBOVU KULIKO YANI KUPINDUKIA HAKIKA KAMA MTU ALIKUWA ANAISKIAGA BARCA SIFA ZAKE ALAF KWA MARA YA KWANZA NDIO ANAIONA hawez ishabikia teeeeena Najua tunaratiba ngumu mbele yetu ila Jana tumeuza mechi
 
Sikufahamu kuwa hadi na ulaya nako wanauzaga mechi had leo
JANA BARCA KAUZA MECHI SIJAWAIONA MPIRA MBOVU KAMA WA JANA YANI MBOVU KULIKO YANI KUPINDUKIA HAKIKA KAMA MTU ALIKUWA ANAISKIAGA BARCA SIFA ZAKE ALAF KWA MARA YA KWANZA NDIO ANAIONA hawez ishabikia teeeeena Najua tunaratiba ngumu mbele yetu ila Jana tumeuza mechi
hahahaaa. Neymar na iniesta wana majeruhi. Alves alikuwa suspended. kocha akaamua na wengine wapumzike wacheze wakina kaptouma. ila mpira ulikuwa mbovu sana. madogo hawawezi kokota mpira kabisa. ila varmaleeen si akatafute timu nyingine!?
 
hahahaaa. Neymar na iniesta wana majeruhi. Alves alikuwa suspended. kocha akaamua na wengine wapumzike wacheze wakina kaptouma. ila mpira ulikuwa mbovu sana. madogo hawawezi kokota mpira kabisa. ila varmaleeen si akatafute timu nyingine!?

Ha ha ha ha ha vamalen huyo ndio kawa uchochoro kabisaaaa
 
Vaminator alionekana vile sababu ya wachezaji aliocheza nao, hasa kwenye midfield kwa vile Kaptoum na Samper hawjawahi kucheza pamoja kwenye level ya first team tens wote wakiwa wanaanza
Ha ha ha ha ha vamalen huyo ndio kawa uchochoro kabisaaaa
 
Back
Top Bottom