FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Nimefurahi mno tumeibuka na ushindi wa 3-1, ushindi kwa Barca ni kitu cha kawaida mno, nilijua tutashinda tu
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Habari zenu wadau woote...Jmn msinishangae leo humu,, nimeanza kuishabikia Barcelona kwsnzia leo chama kubwa duniani ikiongozwa na mfalme wa dunia kuwahi kutokea na kuifanya Timu ipendwe zaidi na mafanz ulimwenguni kote nikiwemo mimi mmoja wao The CossovoMan..aka CVM...
Karib sana mkuu....

Kamwe hutajutia uamuzi wako.
 
Alba: It would be foolish not to
respect Ronaldo, but Messi on
another level

Barcelona defender Jordi Alba believes it would
be "foolish" to disrespect Cristiano Ronaldo, but
he is adamant the Real Madrid star is nowhere
near the same level as Lionel Messi.
The Portugal international is believed to be
sitting in pole position to pick up the FIFA Ballon
d'Or this year after winning the Champions
League and Euro 2016, but Alba feels
performances on the pitch should be what
matters most in the race for the prestigious
individual award, suggesting Ronaldo's
contribution to both titles was not as big as
many have made it out to be.
"Many substitutes have won the Euros, World
Cup or Champions League without contributing
anything. In the end, it's what a player does on
the pitch that counts and Messi has been the
best," Alba was quoted as saying by AS.
"There is no comparison between the two of
them. The debate will always be there and you
have to respect Cristiano. It would be foolish not
to respect him. He is a great player. But whoever
likes football will think Leo is the best.
"What gives Messi an extra dimension is that he
always remains calm. Whatever happens, nothing
affects him and the way he plays.
"He is a star, the best in the world and he shows
it year after year."
Alaba aliongea huku akiwa ka lewa ee!!?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Habari zenu wadau woote...Jmn msinishangae leo humu,, nimeanza kuishabikia Barcelona kwsnzia leo chama kubwa duniani ikiongozwa na mfalme wa dunia kuwahi kutokea na kuifanya Timu ipendwe zaidi na mafanz ulimwenguni kote nikiwemo mimi mmoja wao The CossovoMan..aka CVM...
oooh karibu sana mkuu kwenye familia ya Catalonia[emoji4] [emoji4]
 
Nasikia yule beki wa celtic O'conell mlikuwa mnamtafuta..na mechi ya jana ndio ilikuwa ya kumpima sawa sawa kama ataweza kumhimili mess na suarez...jamaaa yuko vizur...toeni mpunga sasa...
 
Jordi Masip
6 Denis Suárez
7 A. Turan
9 L. Suárez
10 L. Messi
15 Marlon
17 Munir
18 Juan Cámara
20 Sergi Roberto
22 Aleix Vidal
24 J. Mathieu
 
Uefa...

Griezzman kafunga magoli 7 na katoa assist moja..... amekuwa mshindi wa pili


Messi kafunga magoli 6 na katoa assist 1.....


La liga....

Messi kafunga magoli 26 na katoa Assist 16... messi kachukua kombe

Griezzman Kafunga magoli 22 na katoa assist 5.... Griezzman alimaliza namba Tatu


Kombe la mfalme

Messi kafunga magoli 5.... hapa messi alichukua kombe


Griezzman kafunga magoli 3..

Copa America...( hili linaweza likawa irrelevant)

Messi kafunga magoli 5 na katoa assist 4... kawa mshindi wa pili..


Uefa Euro..

Griezzman kafunga magoli 6 amekuwa mshindi wa pili...

Total number of goals

Messi .. 42

Griezzman... 38..

Total number of Cups

Messi... 2
Griezzman 0.....

statistics kwa msaada wa BBC sport....

swali kimetumika Kigezo gani Griezzman kuwemo na kazidiwa kila kitu na messi from goals , assists to trophies...

unaposema messi hakuwa na msimu mzuri uje na authority kuonyesha kwamba huo msimu mmbaya wa messi amepitwa nini na Griezzman...

huyo Bale hata simtaji maana kuwepo kwake na Suarez kutokuwemo ni matusi ya wazi kwa mpira...
 
Uefa...

Griezzman kafunga magoli 7 na katoa assist moja..... amekuwa mshindi wa pili


Messi kafunga magoli 6 na katoa assist 1.....


La liga....

Messi kafunga magoli 26 na katoa Assist 16... messi kachukua kombe

Griezzman Kafunga magoli 22 na katoa assist 5.... Griezzman alimaliza namba Tatu


Kombe la mfalme

Messi kafunga magoli 5.... hapa messi alichukua kombe


Griezzman kafunga magoli 3..

Copa America...( hili linaweza likawa irrelevant)

Messi kafunga magoli 5 na katoa assist 4... kawa mshindi wa pili..


Uefa Euro..

Griezzman kafunga magoli 6 amekuwa mshindi wa pili...

Total number of goals

Messi .. 42

Griezzman... 38..

Total number of Cups

Messi... 2
Griezzman 0.....

statistics kwa msaada wa BBC sport....

swali kimetumika Kigezo gani Griezzman kuwemo na kazidiwa kila kitu na messi from goals , assists to trophies...

unaposema messi hakuwa na msimu mzuri uje na authority kuonyesha kwamba huo msimu mmbaya wa messi amepitwa nini na Griezzman...

huyo Bale hata simtaji maana kuwepo kwake na Suarez kutokuwemo ni matusi ya wazi kwa mpira...

Ubora wa mchezaji sio kufunga magoli/kutoa assist.Canavaro alikuwa mchezaji bora na hakufunga goli wala kutoa assist
 
Back
Top Bottom