BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Messi ni kiumbe cha kufikirika / ajabu kuwahi kutokea katika ulimwengu wa soka.. Hakukuwahi kutokea kama yeye na huenda hata baada yake hakuna atakayekuja kujaza nafasi yake ...
Messi uishi maisha marefu
Shkh Kiwelu! Upo sahihi bro...sidhani kama atatokea kama la pulga,mchezaji wa kipekee... binafsi nikiwa nacheki mpira macho yangu yote kwa Messi, akikamata mpira napata amani....