Luis enrique sio kocha ni kama zidane mm nawakubali sana pep, klop, simeone, pochetino, konte na mourinho. Tulipofikia tunahitaji kocha aina klop kwani mpira wake ni wa kasi na kushambulia. Ss tunaendekeza falsafa timu wa kocha A akiondoka arithiwe na tim kocha B. Sasa huyu luis enrique usajili wake hauna maaana. Na kocha anaposhindwa kusajili tatizo linaanzia hapo. Angalia upande wa midfild amewachukua wa Denis Suarez,yaaaani ni kwamba kuna wachezaji wengine hawana hadhi ya kuichezea barcelona unamuuza Thiago alcantara, unambakiza rafinha alkantara. In short tym haichez vizuri kabisa tunakosa ile fluidity tuliyoizoea. Tungempata Dyabala haswaa akachezeshwa kama midfield otherwise luis enrique should sacked.