Juventus yamuweka sokono Dybala
MUUNGWANA BLOG / 36 minutes ago...
Bei ya Paulo Dybala wa Juventus ni euro milioni 140.
Juventus ya Italia imeiambia Barcelona, kama inamtaka mshambulizi huyo kwa kuwa Neymar anaondoka, iweke fungu hilo mezani.
Barcelona inaonekana imepania kumpata Dyabala na mambo yakishindikana chaguo la pili ni Coutinho wa Liverpool.
Sent using Jamii Forums mobile app
dyabala replacement ya neymar tena tutaenjoy sana MSD halafu coutihno mrithi wa iniesta hao wawili lazima watue barca aiseee...ndio maana madrid wamemuwahi yule dogo vicnic jr wa kibrazil