Huko jijini Valencia,ikicheza jana wachezaji wote waspain kasoro Lionel Andrea Messi Cuccittini na Adriano Correia alieingia kipindi cha pili badala ya Jordi Alba Ramos,timu ya FC Barcelona jana iliwachapa wenyeji Levante akiwemo Obafemi Martins mabao 4-0,mabao yakipatikana kipindi cha pili yakitengenezwa yote 3 na Andrea Iniesta Lujan kabla nae kufunga lake moja kali,mabao yalifungwa na Messi mawili,Cesc Fabregas i Soler na Iniesta,huku kipa Victor Valdes i Arribis akipangua penati dk 85 na kuokoa ingine iliyotaka kumaliziwa kutokana na beki nahodha Carles Puyol i Saforcada alierudi kutoka majeruhi kuunawa mpira,mechi zingine Real Betis ambao last wiki walikula 1-5 toka kwa wapinzani wao wakubwa Sevilla ktk sevilla derby,waliwachapa Real Madrid waliotoka ktk uchovu wa uefa champs ligi,Atletico Madrid nao waliharibu furaha waliokuwa nayo sevilla ya kushinda mechi yao ya sevilla derby last wiki vs betis,atletico madrid walishinda 4-0 vs sevilla,malaga walimchapa valencia fc 4-0,kwa mana hiyo timu za valencia wiki hii ni kilio wote wamekula 4-0,yaani valencia cf na levante ucd,next wiki ni derby el madrid @ santiago bernabeu real madrid vs atletico madrid,atletico madrid wana rekodi mbaya ipatayo takriban zaidi ya miaka 10 hawajawashinda real madrid,toka kina torres,reyes,aguero,forlan nk hawana rekodi ya kuwafunga real madrid,na hii itakuwa mechi kali 7bu real wapo nyuma point 8 kwa wapinzani wao atletico madrid na 11 kwa el clasico wao fc barcelona.