Fears that President Magufuli will create a dictatorship in Tanzania

Fears that President Magufuli will create a dictatorship in Tanzania

Jina lako lenyewe la ki Beberu. Ati ---Paul Sylvester, brain washed
Sawa Ila Mimi si beberu mkuu, nalizaliwa Tanzania naridhika na Tanzania yangu, Mabeberu ni wa kupingwa kila kona!

Wamewapa umaskini wananchi wa Libya na Iraq na wameua na wananuka damu za watu weusi, wanyonyaji na wezi wakubwa hawa, wanashirikiana na wanaowahonga vijisenti vidogo ili kuingia dhambi ya jehanamu
 
Ng'ombe wenye mapembe makubwa wanaswagwa na katoto kenye miaka kumi tu. Sababu hawana akili pamoja na maguvu yao!
Ikitokea siku wakapata akili mchungaji ataomba ardhi ipasuke.
Imeandikwa "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarfa"
 
Sawa Ila Mimi si beberu mkuu, nalizaliwa Tanzania naridhika na Tanzania yangu, Mabeberu ni wa kupingwa kila kona!

Wamewapa umaskini wananchi wa Libya na Iraq na wameua na wananuka damu za watu weusi, wanyonyaji na wezi wakubwa hawa, wanashirikiana na wanaowahonga vijisenti vidogo ili kuingia dhambi ya jehanamu
Wewe una "inferiority complex" hujipendi. You hate yourself. Tanzania imepta uhuru mwaka 1961, leo zaidi ya miaka 50 wewe bado unalaumu Beberu. Singapore, Malaysia nk zote zilikuwa masikini kama Tanzania, ziko wapi sasa, na huko ma beberu wamejaa. You are a victim of CCM brain wash. Go and hate yourself
 
Magufuli hajaondoa ufisadi, bali amazuia matumizi ya neno fisadi ili kuhadaa umma kuwa anapambana na ufisadi. Mtu anayepambana na ufisadi hawezi kuwa adui wa uhuru wa habari.
tindo
That is very correct

Huwezi kusema unapambana na ufisadi, wakati ambapo vyombo vya habari, ambavyo ni "whistle blower" wa ufisadi huo unavifungia!

Mfano halisi ni magazeti ya Mwanahalisi na hivi sasa gazeti la Tanzania Daima

Badala yake unaviacha vile vyombo vya habari vya "praise & worship for Magufuli"

Mfano magazeti ya Tanzanite and the likes, ambayo yanaongoza kwa kuandika habari za uongo, kupandikiza chuki na kuleta chuki ndani ya jamii
 
Hahaha kuna watu wana muita Yesu, hata Yesu hakunywa sumu aliuwawa! .
Njia pekee ya kumuondoa Yesu inajulikana jamani anzeni mikakati ya kumdaka mengine mnayajua akiishadakwa.
 
Wewe una "inferiority complex" hujipendi. You hate yourself. Tanzania imepta uhuru mwaka 1961, leo zaidi ya miaka 50 wewe bado unalaumu Beberu. Singapore, Malaysia nk zote zilikuwa masikini kama Tanzania, ziko wapi sasa, na huko ma beberu wamejaa. You are a victim of CCM brain wash. Go and hate yourself
Mkuu, sasa hapa ndo umeanza kuongea sio hizo blaablaa na ujinga wa beberu

Twende sasa, Unatumia vigezo gani kusema CCM ndio sababu ya umaskini tulionao na sio Taifa kukosa sera na vipaumbele vya Taifa?

Unadhani ni Chama gani kinaweza kutuondoa hapa tulipo, na kina mbinu zipi za kututoa?

Halafu Mimi sijawahi kukubaliana na mtu mwenye kusema Chama Kwanza na sio mtu makini ndani ya Chama mwenye kutanguliza maslahi ya Tz Kwanza kama ilivyo leo Kwa usiyempenda
 
View attachment 1487452
Jane Flanagan
Wednesday June 17 2020, 9.00am, The Times

Tanzania dissolved its parliament and set course for an election in October days after an opposition leader was badly beaten and laws were passed granting senior government figures immunity from prosecution.

There is growing concern that President Magufuli, who took office in 2015 promising to tackle corruption, wants to create a dictatorship.

A range of amendments approved by MPs will protect senior ministers from any legal action in the course of governing. Critics say the legislation effectively hands “powers to continue violating constitutional rights” to President Magufuli whose time in office has been marked by crushing freedoms and dissent.

The latest beating of a senior opposition figure came only hours after Tundu Lissu, Mr Magufuli’s most high-profile critic, announced he would return from exile to challenge him for the presidency in October’s general election.

In a statement America and the EU said the attack on Freeman Mbowe, of the Chadema party, last week was “only the latest in a long series of disturbing acts of violence and harassment perpetrated against members of the opposition”.
Mr Lissu, 52, Chadema’s vice chairman, survived being shot 16 times in an assassination attempt outside his home in Tanzania’s capital in September 2017. He has repeatedly delayed his planned return to the east African state over fears of more attempts on his life, but is determined to unseat Mr Magufuli in the forthcoming ballot which he predicts will turn into a “bitter and violent fight”.

The savage battering of his party colleague, whose injuries included a broken leg, “was planned to send me a serious warning,” Mr Lissu told The Times from his base in Belgium.

“I know I am taking a risk, the threats to my life haven’t gone away, but there are some risks you have to be prepared to take,” he added. Mr Magufuli, 60, has denied all allegations of brutality and has pledged to hold free and fair elections.


Analysts say recent events reflect how rattled the government is by the popularity of Mr Lissu and his party. Mr Magufuli was elected in 2015 on a pledge to root out corruption and public mismanagement. Instead, what was once regarded as a promising beacon of democracy in Africa, has become increasingly autocratic. Tanzania’s mountains, national parks and the island of Zanzibar have made it one of the continent’s biggest magnets for tourists. Its relative stability since independence from Britain has also helped absorb political shocks in the region.

Rights organisations said new laws will not only provide the government with greater freedoms to abuse opponents and activists but will outlaw all efforts by lawyers and activists to seek justice on their behalf.

“Protecting the leaders from being sued when they contravene constitutional rights means giving them powers to continue violating the rights,” Anne Henga, of the Legal and Human Rights Centre, said.

According to local reports, the speaker of Tanzania’s parliament, Job Ndugai, has also told colleagues that he will seek to scrap presidential term limits once the incumbent triumphs in October.

Jeffrey Smith, from Vanguard Africa which campaigns for free and fair elections, said recent actions by Tanzania’s regime demonstrated it “knows they cannot win on an equal political playing field.”

“They use any means necessary, including violence, to try to silence the opposition. This is a clear sign of weakness, not strength,” he said.
Tanzania,
View attachment 1487452
Jane Flanagan
Wednesday June 17 2020, 9.00am, The Times

Tanzania dissolved its parliament and set course for an election in October days after an opposition leader was badly beaten and laws were passed granting senior government figures immunity from prosecution.

There is growing concern that President Magufuli, who took office in 2015 promising to tackle corruption, wants to create a dictatorship.

A range of amendments approved by MPs will protect senior ministers from any legal action in the course of governing. Critics say the legislation effectively hands “powers to continue violating constitutional rights” to President Magufuli whose time in office has been marked by crushing freedoms and dissent.

The latest beating of a senior opposition figure came only hours after Tundu Lissu, Mr Magufuli’s most high-profile critic, announced he would return from exile to challenge him for the presidency in October’s general election.

In a statement America and the EU said the attack on Freeman Mbowe, of the Chadema party, last week was “only the latest in a long series of disturbing acts of violence and harassment perpetrated against members of the opposition”.
Mr Lissu, 52, Chadema’s vice chairman, survived being shot 16 times in an assassination attempt outside his home in Tanzania’s capital in September 2017. He has repeatedly delayed his planned return to the east African state over fears of more attempts on his life, but is determined to unseat Mr Magufuli in the forthcoming ballot which he predicts will turn into a “bitter and violent fight”.

The savage battering of his party colleague, whose injuries included a broken leg, “was planned to send me a serious warning,” Mr Lissu told The Times from his base in Belgium.

“I know I am taking a risk, the threats to my life haven’t gone away, but there are some risks you have to be prepared to take,” he added. Mr Magufuli, 60, has denied all allegations of brutality and has pledged to hold free and fair elections.


Analysts say recent events reflect how rattled the government is by the popularity of Mr Lissu and his party. Mr Magufuli was elected in 2015 on a pledge to root out corruption and public mismanagement. Instead, what was once regarded as a promising beacon of democracy in Africa, has become increasingly autocratic. Tanzania’s mountains, national parks and the island of Zanzibar have made it one of the continent’s biggest magnets for tourists. Its relative stability since independence from Britain has also helped absorb political shocks in the region.

Rights organisations said new laws will not only provide the government with greater freedoms to abuse opponents and activists but will outlaw all efforts by lawyers and activists to seek justice on their behalf.

“Protecting the leaders from being sued when they contravene constitutional rights means giving them powers to continue violating the rights,” Anne Henga, of the Legal and Human Rights Centre, said.

According to local reports, the speaker of Tanzania’s parliament, Job Ndugai, has also told colleagues that he will seek to scrap presidential term limits once the incumbent triumphs in October.

Jeffrey Smith, from Vanguard Africa which campaigns for free and fair elections, said recent actions by Tanzania’s regime demonstrated it “knows they cannot win on an equal political playing field.”

“They use any means necessary, including violence, to try to silence the opposition. This is a clear sign of weakness, not strength,” he said.
[/QUOT

Tanzania,the land of abundant natural resources has been the target for the investment from foreign manufacturing companies and importing processed goods from overseas.
For so long as the neo - colonialism deepening in africa and as the western countries view the continent as the sole natural provider for their well being and SURVIVAL,no one will want to see the continent STANDS for it's DESTINATION as the competitor not only in multinational business but also in it's SOVEREIGNTY.

In Tanzania there are those who BELIEVE AND STAND on everything being told by the foreign EXPERTS on POLITICAL ARENA without exquisitely questioning it's MOTIVE.

I have been concurring with Professor Lumumba's views that in Tanzania there is only ONE INSTITUTIONAL POLITICAL PARTY,being CCM.

The Rest Parties Have Been Embracing Argumentum Ad Hominem On everything being said by the REDEEMER and AWAKER of the country President Magufuli.

President Magufuli has been the forefront on REMINDING his fellow countrymen THAT THEY HAVE TO CHANGE THEIR PERSPECTIVE ON THE MATTER CONCERNING THE NATION.

THERE ARE THOSE who have been benefiting by the STATUS QUO of LOOTING THE COUNTRIES WEALTH,are now viewing President Magufuli as the DICTATOR.
They want to see no changes happen for the country and fellow citizens,unfortunately have been corporating by the OPPOSITION PARTIES in their AGENDA.

Most Ordinary Tanzania want to see their country being led and walking on the VISION of founding FATHERS and are now rejoicing by having the real ZEALOUT SON OF THE NATION MAGUFULI,the rest has been THE POLITICAL FOULS DONE BY THE ENEMIES OF THE COUNTRY AND THROWING COMPLAINTS on CCM and it's government.

Tanzania has been the safe country than the rest of our neighbors,there are those ELEMENTS who wants to see the country does not stands firmly on ITS STANCE for the sake of it's DESTINATION.


Jumbe Brown
Tanzania
 
View attachment 1487452
Jane Flanagan
Wednesday June 17 2020, 9.00am, The Times

Tanzania dissolved its parliament and set course for an election in October days after an opposition leader was badly beaten and laws were passed granting senior government figures immunity from prosecution.

There is growing concern that President Magufuli, who took office in 2015 promising to tackle corruption, wants to create a dictatorship.

A range of amendments approved by MPs will protect senior ministers from any legal action in the course of governing. Critics say the legislation effectively hands “powers to continue violating constitutional rights” to President Magufuli whose time in office has been marked by crushing freedoms and dissent.

The latest beating of a senior opposition figure came only hours after Tundu Lissu, Mr Magufuli’s most high-profile critic, announced he would return from exile to challenge him for the presidency in October’s general election.

In a statement America and the EU said the attack on Freeman Mbowe, of the Chadema party, last week was “only the latest in a long series of disturbing acts of violence and harassment perpetrated against members of the opposition”.
Mr Lissu, 52, Chadema’s vice chairman, survived being shot 16 times in an assassination attempt outside his home in Tanzania’s capital in September 2017. He has repeatedly delayed his planned return to the east African state over fears of more attempts on his life, but is determined to unseat Mr Magufuli in the forthcoming ballot which he predicts will turn into a “bitter and violent fight”.

The savage battering of his party colleague, whose injuries included a broken leg, “was planned to send me a serious warning,” Mr Lissu told The Times from his base in Belgium.

“I know I am taking a risk, the threats to my life haven’t gone away, but there are some risks you have to be prepared to take,” he added. Mr Magufuli, 60, has denied all allegations of brutality and has pledged to hold free and fair elections.


Analysts say recent events reflect how rattled the government is by the popularity of Mr Lissu and his party. Mr Magufuli was elected in 2015 on a pledge to root out corruption and public mismanagement. Instead, what was once regarded as a promising beacon of democracy in Africa, has become increasingly autocratic. Tanzania’s mountains, national parks and the island of Zanzibar have made it one of the continent’s biggest magnets for tourists. Its relative stability since independence from Britain has also helped absorb political shocks in the region.

Rights organisations said new laws will not only provide the government with greater freedoms to abuse opponents and activists but will outlaw all efforts by lawyers and activists to seek justice on their behalf.

“Protecting the leaders from being sued when they contravene constitutional rights means giving them powers to continue violating the rights,” Anne Henga, of the Legal and Human Rights Centre, said.

According to local reports, the speaker of Tanzania’s parliament, Job Ndugai, has also told colleagues that he will seek to scrap presidential term limits once the incumbent triumphs in October.

Jeffrey Smith, from Vanguard Africa which campaigns for free and fair elections, said recent actions by Tanzania’s regime demonstrated it “knows they cannot win on an equal political playing field.”

“They use any means necessary, including violence, to try to silence the opposition. This is a clear sign of weakness, not strength,” he said.
 
Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Magufuli ame wa outsmart kwa kila kitu

Mfano Chadema walilamikia ufisadi ila Magufuli ameondoa ufisadi na matokeo yake majizi na mafisadi yamekimbilia kujificha Chadema
Usijifanye unaandikia wajinga! Peleka upuuzi huu facebook, humu JF tunajitambua, huu ugoro wako hatununui. Eti ameondoa ufisadi..pyuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
Usijifanye unaandikia wajinga! Peleka upuuzi huu facebook, humu JF tunajitambua, huu ugoro wako hatununui. Eti ameondoa ufisadi..pyuuuuuuuuuuuuuuuu!
Mbona povu mbaba,nakukumbusha tu kuwa ile MAHAKAMA YA KIFISADI AMEIANZISHA magufuli na MIPAPA inaendelea kuweweseka ha ha ha we wa wapi mwenzetu
 
Wewe una "inferiority complex" hujipendi. You hate yourself. Tanzania imepta uhuru mwaka 1961, leo zaidi ya miaka 50 wewe bado unalaumu Beberu. Singapore, Malaysia nk zote zilikuwa masikini kama Tanzania, ziko wapi sasa, na huko ma beberu wamejaa. You are a victim of CCM brain wash. Go and hate yourself
Endelea kujifurahisha na kuaminika kuwa ubeberu umeisha na haupo...HALAFU MABEBERU ukiridhika nao na kuwakabidhi hatima ya nchi yako WAO WANAKUJENGEA NA KUIFANYA NCHI IMEREMETE KWA MUKTADHA wako,nikuulze umerudi lini toka singapore usemako?
 
tindo
That is very correct

Huwezi kusema unapambana na ufisadi, wakati ambapo vyombo vya habari, ambavyo ni "whistle blower" wa ufisadi huo unavifungia!

Mfano halisi ni magazeti ya Mwanahalisi na hivi sasa gazeti la Tanzania Daima

Badala yake unaviacha vile vyombo vya habari vya "praise & worship for Magufuli"

Mfano magazeti ya Tanzanite and the likes, ambayo yanaongoza kwa kuandika habari za uongo, kupandikiza chuki na kuleta chuki ndani ya jamii
Magufuli anaijenga NCHI ILIYOBOMOKA....sidhani ktka ujenzi watu huo wanajenga wakiwa wamevaa SUTI NA TAI...huko Singapore na Malaysia walipokuwa wanafanya revival ya nchi yao Wala hakukuwa na sauti kinzani ya maneno ya magazeti km TANZANIA DAIMA NA MWANAHALISI,acheni ufulafula
 
Mkuu, sasa hapa ndo umeanza kuongea sio hizo blaablaa na ujinga wa beberu

Twende sasa, Unatumia vigezo gani kusema CCM ndio sababu ya umaskini tulionao na sio Taifa kukosa sera na vipaumbele vya Taifa?

Unadhani ni Chama gani kinaweza kutuondoa hapa tulipo, na kina mbinu zipi za kututoa?

Halafu Mimi sijawahi kukubaliana na mtu mwenye kusema Chama Kwanza na sio mtu makini ndani ya Chama mwenye kutanguliza maslahi ya Tz Kwanza kama ilivyo leo Kwa usiyempenda
Hawawezi kuyaelewa maneno KUNTU uliyoyasema...
 
Hawa dawa yao ni kushtakiwa 'The Hague'wakijichanganya tu kutoka nje ya nchi hata kama wanaenda kutibiwa wadakwe kama mwewe anavyodaka kifaranga cha Kuku!
 
Mabeberu hawa wajinga Sana, Wangejua jinsi Mh Mbowe anavyowacheka! Wangejua kwamba Yeye siku hiyo alijisahau akapitiliza kiwango cha gongo anachokimudu na hatimaye akajikwaa kudondoka akaumia! Wasingekuwa wanaoandika huu ujinga!

Wakomae na (Trumbuli) Kwanza anayeendekeza mauaji ya watu weusi, na wakome kutujua
Kila siku imekuwa dicteta, dicteta, tunaokaa nchini mwetu hatuoni huo upumbavu,

Angekuwa dicteta haya maoni Yao yangesomwa kwenye mitandao Yao na si mitandao ya hapa, pumbavu kabisa
Magufuli ametudhihirishia kuwa baadhi ya mama wa kiafrika huwa wanazaa watoto wa KIUME wenye AKILI...
MWENYEENZI MUNGU AMPONYE BIBI YETU MAMA YAKE MAGUFULI amiin aaamin
 
Hawa dawa yao ni kushtakiwa 'The Hague'wakijichanganya tu kutoka nje ya nchi hata kama wanaenda kutibiwa wadakwe kama mwewe anavyodaka kifaranga cha Kuku!
Natamani nikijue kiwango chako Cha ELIMU...
Natamani niijue SHULE uliyosoma nikawatie viboko walimu wako....
The Hague ilianzishwa kimkakati kulinda maslahi ya WHITE SUPREMACISM ALL OVER THE GLOBE....
Mbona hawafile petition wamkamate KAGAME na MUSEVENI?!!!!
HAWAWAKAMATI KWA SABABU HAWAJAFANYA UHALIFU WA KIBINADAMU...WAO WANAWAMINYA TU KISIASA KINA BOB WINE NA VICTOIRE INGABIRE....
Ajabu ya pili NI kuwa wale vibaraka wao km LAURENT BAGBO ndio wanaowashughulikia MWISHONI HUKO....
WEWE NI HASARA KWA TAIFA HILI NAMLAUMU BABA YAKO KUTULETEA KITUKO TANZANIA kwi kwi kwi kwi in Mbowe's voice
 
Back
Top Bottom