Fears that President Magufuli will create a dictatorship in Tanzania

Fears that President Magufuli will create a dictatorship in Tanzania

Endelea kujifurahisha na kuaminika kuwa ubeberu umeisha na haupo...HALAFU MABEBERU ukiridhika nao na kuwakabidhi hatima ya nchi yako WAO WANAKUJENGEA NA KUIFANYA NCHI IMEREMETE KWA MUKTADHA wako,nikuulze umerudi lini toka singapore usemako?
Jumbe, labda brainwash ya CCM imekujaa sana huko kichwani. Kwanza nchi hii ni omba omba nani anaihitaji au anaitaka? Hata kijiographia wengi hawaijui ipo wapi. Au wewe unaishi Congo. Ki utajiri afadhali hata ya Congo DRC, Tanzania ina contribute negligible percent kwenye World Trade. Angalia google. Sasa hao ma beberu waipendee nini? Wanaopenda hii nchi ni Matapeli ambao wako na CCM siyo Mabeberu. Umewahi kusikia BH Biliton, Rio Tinto, wanakuja? This country is corrupt to the core. Barick walibadirisha jina kujiita Acasia unajua kwa nini? Hawakutaka jina lao liwe exposed kwenye corruption..

Tangu Trump awe Rais Marekani mwaka 2016 hajachagua Balozi Tanzania unajua kwa nini? Yule aliyeondoka alikuwa anakaimu. You know why? Trump anasema hakuna importance ya kuwa na Balozi Tanzania.
 
Natamani nikijue kiwango chako Cha ELIMU...
Natamani niijue SHULE uliyosoma nikawatie viboko walimu wako....
The Hague ilianzishwa kimkakati kulinda maslahi ya WHITE SUPREMACISM ALL OVER THE GLOBE....
Mbona hawafile petition wamkamate KAGAME na MUSEVENI?!!!!
HAWAWAKAMATI KWA SABABU HAWAJAFANYA UHALIFU WA KIBINADAMU...WAO WANAWAMINYA TU KISIASA KINA BOB WINE NA VICTOIRE INGABIRE....
Ajabu ya pili NI kuwa wale vibaraka wao km LAURENT BAGBO ndio wanaowashughulikia MWISHONI HUKO....
WEWE NI HASARA KWA TAIFA HILI NAMLAUMU BABA YAKO KUTULETEA KITUKO TANZANIA kwi kwi kwi kwi in Mbowe's voice
Mbona kusikia The Hague umekamatwa na tumbo la kuhara ghafla?
 
Alisema lini na wapi?

Trump mwenye Yuko kitanzini kwa UBAGUZI na kuwabeba WENZAKE white supremacists against wachache...huyo mtoa comment zwazwa ndio wale wanaokumbushwa kufanya kazi za halali kutafuta KIPATO na wanywe MAZIWA waondokane na UNYAFUZI NA UGOIGOI WA KUFIKIRI.
 
Jumbe, labda brainwash ya CCM imekujaa sana huko kichwani. Kwanza nchi hii ni omba omba nani anaihitaji au anaitaka? Hata kijiographia wengi hawaijui ipo wapi. Au wewe unaishi Congo. Ki utajiri afadhali hata ya Congo DRC, Tanzania ina contribute negligible percent kwenye World Trade. Angalia google. Sasa hao ma beberu waipendee nini? Wanaopenda hii nchi ni Matapeli ambao wako na CCM siyo Mabeberu. Umewahi kusikia BH Biliton, Rio Tinto, wanakuja? This country is corrupt to the core. Barick walibadirisha jina kujiita Acasia unajua kwa nini? Hawakutaka jina lao liwe exposed kwenye corruption..

Tangu Trump awe Rais Marekani mwaka 2016 hajachagua Balozi Tanzania unajua kwa nini? Yule aliyeondoka alikuwa anakaimu. You know why? Trump anasema hakuna importance ya kuwa na Balozi Tanzania.
Umesema labda nimeathirika na being brainwashed by the zealout party CCM but I beg to remind you that even yourself have been drugged in that SAGA...yet you cite the Google and international corporates as your SOLE GLOBAL-DATA PROVIDER.....

Hizo corporates entities ulizozisema hapo juu ni MABEPARI NA MABEBERU wakati mwingine huwaoni wakija KUINVEST PHYSICALLY hapa nchini but WANAFADHILI HIZI NON-GOVERNMENTAL APPARATUS wanaojiita watu wa haki za binadamu....ama wameshawahi kutuwekea wazi WOTE WANAOCHANGIA SHUGHULI ZAO?!!!

Unasema Tanzania haijulikani KATIKA map ya dunia,yet 25% ya internal revenue inatokana na UTALII...kumbuka hzo NI hela nyingi sana Sasa hao watalii wanakwenda KUTEMBELEA MWEZINI HALAFU FEDHA YOTE HI TO TUNALETEWA SISI?!!!!
Kongo Haina amani hebu niambie UTALIII kwao unawaingizia percent ngapi????
WIZARA YA MIFUGO IMETUKUMBUSHA TUWE TUNAKUNYWA MAZIWA ILI VICHWA VYETU VISISIMKE...nakushauri unapopata pesa YA TATU MZUKA uwe unajiwekea BAJETI YA KUNUNUA MAZIWA kwi kwi kwi kwi in Zitto Kabwe's voice
 
Huyu hasimami wima Ila anainama (kubong'oa) eti kuliokota taulo!
Mkuu Chakaza unaikumbuka ile operesheni pale mutukula mwaka 78 nilipokuokoa nikakuficha handakini BAADA ya kuwaona Askari wa Idd Amin wameKUBONG'OLESHA huku wakiwa na mvinyo wa WARAGI mikononi kwi kwi kwi kwi
 
Misukule ya ccm acheni kushabikia dikteta anaua watu kila ukicha mtashea laana.
 
Misukule ya ccm acheni kushabikia dikteta anaua watu kila ukicha mtashea laana.
Kweli ndwanye HOBOBO wewe,hao watu WANAUAWA KIUCHAWI NA KIULIMWENGU wa roho?!!!!ha ha ha ha zwazwa%
 
Mbona povu mbaba,nakukumbusha tu kuwa ile MAHAKAMA YA KIFISADI AMEIANZISHA magufuli na MIPAPA inaendelea kuweweseka ha ha ha we wa wapi mwenzetu
Takwimu zipo EATV kwamba kumekuwepo na ongezeko kubwa la wagonjwa wa akili katika awamu ya Tano, bila shaka na wewe ni miongoni mwao. Nani kapelekwa kwenye hiyo mahakama ya kifisadi unayodai imeanzishwa? Imewahi kusikiliza kesi gani? Wangapi wamehukumiwa kupitia mahakama hiyo we mbwiga!
 
Unasema? Hebu acha kumfedhehesha kamanda Chakaza!
[/QUOTE
Toka depo la desh desh nilishaujua udhaifu wako...commissioner gani uko rahisi kubong'oleshwa namna hyo kwi kwi kwi haya kamanda wangu wa MI...
 
Takwimu zipo EATV kwamba kumekuwepo na ongezeko kubwa la wagonjwa wa akili katika awamu ya Tano, bila shaka na wewe ni miongoni mwao. Nani kapelekwa kwenye hiyo mahakama ya kifisadi unayodai imeanzishwa? Imewahi kusikiliza kesi gani? Wangapi wamehukumiwa kupitia mahakama hiyo we mbwiga!
Swahiba hivi kweli uko SERIOUS ama ndiyo nyinyi wacheza singeli?!!!
Nakukumbusha kuwa kumekuwepo na hukumu nyingi zilizotolewa,moja NI ile ya miaka 315 jela kwa wale wafanyakazi wa iliokuwa ICD AZAM nafikiri mwaka uliopita,HAO WAWILI WALIISABABISHIA SERIKALI HASARA YA ZAIDI YA BILIONI 12...
Umeniita MBWIGA kwi kwi kwi,MBWIGA mm nakushauri UWE UNAKUNYWA MAZIWA USISIMUE NEVA ZILIZOGANDA BONGONI MWAKO ha ha ha kalaghabaho
 
Back
Top Bottom