Fears that President Magufuli will create a dictatorship in Tanzania

Jina lako lenyewe la ki Beberu. Ati ---Paul Sylvester, brain washed
Sawa Ila Mimi si beberu mkuu, nalizaliwa Tanzania naridhika na Tanzania yangu, Mabeberu ni wa kupingwa kila kona!

Wamewapa umaskini wananchi wa Libya na Iraq na wameua na wananuka damu za watu weusi, wanyonyaji na wezi wakubwa hawa, wanashirikiana na wanaowahonga vijisenti vidogo ili kuingia dhambi ya jehanamu
 
Ng'ombe wenye mapembe makubwa wanaswagwa na katoto kenye miaka kumi tu. Sababu hawana akili pamoja na maguvu yao!
Ikitokea siku wakapata akili mchungaji ataomba ardhi ipasuke.
Imeandikwa "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarfa"
 
Wewe una "inferiority complex" hujipendi. You hate yourself. Tanzania imepta uhuru mwaka 1961, leo zaidi ya miaka 50 wewe bado unalaumu Beberu. Singapore, Malaysia nk zote zilikuwa masikini kama Tanzania, ziko wapi sasa, na huko ma beberu wamejaa. You are a victim of CCM brain wash. Go and hate yourself
 
Magufuli hajaondoa ufisadi, bali amazuia matumizi ya neno fisadi ili kuhadaa umma kuwa anapambana na ufisadi. Mtu anayepambana na ufisadi hawezi kuwa adui wa uhuru wa habari.
tindo
That is very correct

Huwezi kusema unapambana na ufisadi, wakati ambapo vyombo vya habari, ambavyo ni "whistle blower" wa ufisadi huo unavifungia!

Mfano halisi ni magazeti ya Mwanahalisi na hivi sasa gazeti la Tanzania Daima

Badala yake unaviacha vile vyombo vya habari vya "praise & worship for Magufuli"

Mfano magazeti ya Tanzanite and the likes, ambayo yanaongoza kwa kuandika habari za uongo, kupandikiza chuki na kuleta chuki ndani ya jamii
 
Hahaha kuna watu wana muita Yesu, hata Yesu hakunywa sumu aliuwawa! .
Njia pekee ya kumuondoa Yesu inajulikana jamani anzeni mikakati ya kumdaka mengine mnayajua akiishadakwa.
 
Mkuu, sasa hapa ndo umeanza kuongea sio hizo blaablaa na ujinga wa beberu

Twende sasa, Unatumia vigezo gani kusema CCM ndio sababu ya umaskini tulionao na sio Taifa kukosa sera na vipaumbele vya Taifa?

Unadhani ni Chama gani kinaweza kutuondoa hapa tulipo, na kina mbinu zipi za kututoa?

Halafu Mimi sijawahi kukubaliana na mtu mwenye kusema Chama Kwanza na sio mtu makini ndani ya Chama mwenye kutanguliza maslahi ya Tz Kwanza kama ilivyo leo Kwa usiyempenda
 
Tanzania,
 
 
Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Magufuli ame wa outsmart kwa kila kitu

Mfano Chadema walilamikia ufisadi ila Magufuli ameondoa ufisadi na matokeo yake majizi na mafisadi yamekimbilia kujificha Chadema
Usijifanye unaandikia wajinga! Peleka upuuzi huu facebook, humu JF tunajitambua, huu ugoro wako hatununui. Eti ameondoa ufisadi..pyuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
Usijifanye unaandikia wajinga! Peleka upuuzi huu facebook, humu JF tunajitambua, huu ugoro wako hatununui. Eti ameondoa ufisadi..pyuuuuuuuuuuuuuuuu!
Mbona povu mbaba,nakukumbusha tu kuwa ile MAHAKAMA YA KIFISADI AMEIANZISHA magufuli na MIPAPA inaendelea kuweweseka ha ha ha we wa wapi mwenzetu
 
Endelea kujifurahisha na kuaminika kuwa ubeberu umeisha na haupo...HALAFU MABEBERU ukiridhika nao na kuwakabidhi hatima ya nchi yako WAO WANAKUJENGEA NA KUIFANYA NCHI IMEREMETE KWA MUKTADHA wako,nikuulze umerudi lini toka singapore usemako?
 
Magufuli anaijenga NCHI ILIYOBOMOKA....sidhani ktka ujenzi watu huo wanajenga wakiwa wamevaa SUTI NA TAI...huko Singapore na Malaysia walipokuwa wanafanya revival ya nchi yao Wala hakukuwa na sauti kinzani ya maneno ya magazeti km TANZANIA DAIMA NA MWANAHALISI,acheni ufulafula
 
Hawawezi kuyaelewa maneno KUNTU uliyoyasema...
 
Hawa dawa yao ni kushtakiwa 'The Hague'wakijichanganya tu kutoka nje ya nchi hata kama wanaenda kutibiwa wadakwe kama mwewe anavyodaka kifaranga cha Kuku!
 
Magufuli ametudhihirishia kuwa baadhi ya mama wa kiafrika huwa wanazaa watoto wa KIUME wenye AKILI...
MWENYEENZI MUNGU AMPONYE BIBI YETU MAMA YAKE MAGUFULI amiin aaamin
 
Hawa dawa yao ni kushtakiwa 'The Hague'wakijichanganya tu kutoka nje ya nchi hata kama wanaenda kutibiwa wadakwe kama mwewe anavyodaka kifaranga cha Kuku!
Natamani nikijue kiwango chako Cha ELIMU...
Natamani niijue SHULE uliyosoma nikawatie viboko walimu wako....
The Hague ilianzishwa kimkakati kulinda maslahi ya WHITE SUPREMACISM ALL OVER THE GLOBE....
Mbona hawafile petition wamkamate KAGAME na MUSEVENI?!!!!
HAWAWAKAMATI KWA SABABU HAWAJAFANYA UHALIFU WA KIBINADAMU...WAO WANAWAMINYA TU KISIASA KINA BOB WINE NA VICTOIRE INGABIRE....
Ajabu ya pili NI kuwa wale vibaraka wao km LAURENT BAGBO ndio wanaowashughulikia MWISHONI HUKO....
WEWE NI HASARA KWA TAIFA HILI NAMLAUMU BABA YAKO KUTULETEA KITUKO TANZANIA kwi kwi kwi kwi in Mbowe's voice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…