Features za kuvutia kwenye simu za Xiaomi

Features za kuvutia kwenye simu za Xiaomi

Xiaomi ni jina la kampuni na kwa sasa inatengeneza simu katika brand 3 tofauti: Xiaomi(hizi zinabeba jina la kampuni mama), Redmi na Poco. Xiaomi wanatengeneza flagship , Redmi na Poco ni sub brand zao ambazo zimejikita kutengeneza simu nzuri kwa gharama za chini. Zote ni simu nzuri, bajeti yako na preference zako ndio zitaamua ununue Xiaomi, Redmi au Poco ila zote experience ni ileile, tofauti ni kwamba Xiaomi ni more premium, Redmi na Poco ni midrange nzuri, low end pia wanazo
Kama una budget ya chini Redmi na Poco wana simu nzuri sana na zenye very capable hardware kuliko washindani. Kwa hiyo zote ni nzuri cha msingi zinatoa product bora kulingana na bei.
Kwa mfano kama unataka simu ya Xiaomi, unaweza sema budget yako ni kiasi gani?
pia kwa kuagiza kwa kutumia al express ni supplies gani mzuri mwaminifu na ni njia gani nzuri ya kuisafirisha na itachukua muda gani mpaka kufika hapa, 🙏
 
Dah, natumia Redmi 11 zaidi ya miezi 7 lkn sikuwahi kujua ina mambo mazuri hivi.

Pia kama kuna anayefahamu namna ya kupata camera nzuri kwa hizi simu atuelimishe tafadhali.

Thanks for sharing.
Unatumia Redmi ngapi mkuu
 
Features nyingi hapa zipo MIUI 12 na kuendelea. Kwa hiyo ukinunua simu kama Redmi Note 10 kwenda juu, Xiaomi Mi 11 kwenda juu, au simu nyingi tu za Xiaomi zenye hiyo MIUI 12 kupanda utakuta hizo features.
Redmi Note 10 ni around 450000/=, Simu za mamilioni zina features nyingi zaidi.
Pia unapaswa kujua features nyingi zipo kwenye software kwa hiyo Xiaomi nyingi sana katika bei tofauti tofauti zina hizi features.
Viipi kuhusu Redmi 10C nime update hadi Mi UI 14 ?
 
Nilishatumia hizi simu ziko vizuri sana. Nilichokipenda
Mira cast
Second space
Fast changing
Kuwasha torch kwa power button
Kutumia kama remote
App lock
Kwa sasa natumia galaxy S20 nimezoea simu size ndogo ni Xiaomi gani yenye size ndogo?
 
Back
Top Bottom