Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,940
- 5,511
View attachment 2526578
Simu za Xiaomi zina features nyingi za kuvutia bila kupoteza muda naanza direct kuonesha features hizo
1. Hypercharging Ability
Xiaomi anatumia technology yake ya Xiaomi Hypercharging technology inayokuwezesha kuchaji simu yako kutoka asilimia 0 Hadi 100 kwa dakika 15 hadi 20 tu.
ili kufanya hypercharging isiharibu betri Xiaomi ameinclude features 34 kwenye battery, circuit na charger ili kuendelea kuwekea betri katika hali ya usalamaView attachment 2526550
2. App Lock
Simu za Xiaomi zinakuja na feature ya App Lock inayokuwezesha kulock apps unazozitaka kwa kutumia fingerprint scanner au face unlock.
View attachment 2526552
3. Horizontal/ Vertical Recent Apps
Tofauti na ilivyo kwa simu nyingi ambazo Recent apps zimekuwa arranged horizontally simu za Xiaomi zinakiwezesha kuarrange apps zako kwa njia zote mbili vertically au horizontally View attachment 2526555View attachment 2526556
4. Back tap
Feature hii inakuwezesha kuaccess tools kama Camera, torch, calculator, Google Assistant na Silent Mode kwa kubonyeza nyuma ya simu yako mara mbili au mara tatu.View attachment 2526558
5. App Volume control
Hii feature inakuwezesha kuwa na volume tofauti kwenye application tofauti tofauti. Kwa mfano unaweza kuset sauti kubwa YouTube, sauti ndogo Instagram na sauti ya wastani TikTok badala ya kuwa na sauti standard kwa apps zote.
6. Super Macro shots
Feature hii inasaidia kuboost uwezo wa kamera kupiga Macro shots na kufanya macro shots ziwe na ubora wa hali ya juu.
7. Clone Mode on Camera
Hii ni mode inayokuwezesha kuongeza clones za object unazozipiga picha. Kwa mfano ukimpiga picha mtu mmoja unaweza ku-multiply wakatokea wawili au zaidi.
8. Three-finger slide screenshots
Hii ni feature inayokuwezesha kupiga screenshots kwa kuslide down vidole vyako vitatu kutoka juu ya display hadi chini. Hii ni rahisi zaidi kuliko kutumia volume down and power button kupiga screenshots.
9. Second Space
Hii ni feature inayokuongezea phone layout nyingine kwenye simu yako. Feature hii ni nzuri sana, ni kama unatumia simu mbili tofauti ndani ya simu moja. Unaweza kuitumia kutenganisha apps zako za ofisini, au za entertainment na kuzitumia kupitia Second Space ambayo itahitaji password [emoji360] yako ili kuingia Second space.
10. Tones of Animated Wallpapers
Simu za Xiaomi zinakuja na live wallpapers nyingi tena ni za bure. Zipo nyingi yaani kuchagua ushindwe wewe tu
Hapa nimeanza na features kumi tu lakini features zipo nyingi sana. Nitaendelea nazo hapo chini kwenye hiihii thread.
Simu za Xiaomi zina features nyingi za kuvutia bila kupoteza muda naanza direct kuonesha features hizo
1. Hypercharging Ability
Xiaomi anatumia technology yake ya Xiaomi Hypercharging technology inayokuwezesha kuchaji simu yako kutoka asilimia 0 Hadi 100 kwa dakika 15 hadi 20 tu.
ili kufanya hypercharging isiharibu betri Xiaomi ameinclude features 34 kwenye battery, circuit na charger ili kuendelea kuwekea betri katika hali ya usalamaView attachment 2526550
2. App Lock
Simu za Xiaomi zinakuja na feature ya App Lock inayokuwezesha kulock apps unazozitaka kwa kutumia fingerprint scanner au face unlock.
View attachment 2526552
3. Horizontal/ Vertical Recent Apps
Tofauti na ilivyo kwa simu nyingi ambazo Recent apps zimekuwa arranged horizontally simu za Xiaomi zinakiwezesha kuarrange apps zako kwa njia zote mbili vertically au horizontally View attachment 2526555View attachment 2526556
4. Back tap
Feature hii inakuwezesha kuaccess tools kama Camera, torch, calculator, Google Assistant na Silent Mode kwa kubonyeza nyuma ya simu yako mara mbili au mara tatu.View attachment 2526558
5. App Volume control
Hii feature inakuwezesha kuwa na volume tofauti kwenye application tofauti tofauti. Kwa mfano unaweza kuset sauti kubwa YouTube, sauti ndogo Instagram na sauti ya wastani TikTok badala ya kuwa na sauti standard kwa apps zote.
6. Super Macro shots
Feature hii inasaidia kuboost uwezo wa kamera kupiga Macro shots na kufanya macro shots ziwe na ubora wa hali ya juu.
7. Clone Mode on Camera
Hii ni mode inayokuwezesha kuongeza clones za object unazozipiga picha. Kwa mfano ukimpiga picha mtu mmoja unaweza ku-multiply wakatokea wawili au zaidi.
8. Three-finger slide screenshots
Hii ni feature inayokuwezesha kupiga screenshots kwa kuslide down vidole vyako vitatu kutoka juu ya display hadi chini. Hii ni rahisi zaidi kuliko kutumia volume down and power button kupiga screenshots.
9. Second Space
Hii ni feature inayokuongezea phone layout nyingine kwenye simu yako. Feature hii ni nzuri sana, ni kama unatumia simu mbili tofauti ndani ya simu moja. Unaweza kuitumia kutenganisha apps zako za ofisini, au za entertainment na kuzitumia kupitia Second Space ambayo itahitaji password [emoji360] yako ili kuingia Second space.
10. Tones of Animated Wallpapers
Simu za Xiaomi zinakuja na live wallpapers nyingi tena ni za bure. Zipo nyingi yaani kuchagua ushindwe wewe tu
Hapa nimeanza na features kumi tu lakini features zipo nyingi sana. Nitaendelea nazo hapo chini kwenye hiihii thread.