Fedha za EU zinavyotuangamiza Wakenya

Fedha za EU zinavyotuangamiza Wakenya

FEDHA ZA EU ZINAVYOTUANGAMIZA WAKENYA

Tunajua dhahiri kwamba fedha za Umoja wa Ulaya (EU) ndio zinazotusababishia madhila ya kila aina sisi Wakenya.

Serikali yetu imepokea fedha hizo haramu zenye masharti ya kutuangamiza sisi Wakenya.

Baadhi ya masharti hayo ni kama yafuatayo:

1. Serikali lazima itoe takwimu kwamba COVID-19 ipo na waathirika wanaongezeka kila uchao.

2. Serikali lazima itufungie majumbani (lockdown) bila kujali madhara tunayoyapata.

3. Serikali lazima ikubali chanjo za majaribio za ugonjwa wa COVID-19. Serikali yetu imeshakubali na wakati wowote tutageuzwa panya wa maabara. Huu ni ugaidi wa kibaiolojia.

Tunafahamu kwamba COVID-19 ni utekelezaji wa New World Order mpango wa wazungu kutawala Dunia. Wanataka wakitoa amri, lazima itekelezwe.

Ndio maana wazee wetu hapa Kenya waliandika kitabu kisemacho Not Yet Uhuru kuonesha kwamba Kenya bado ipo chini ya wakoloni japokua tumepewa _uhuru bandia.
Pole Sana jirani,naona umeandika kwa uchungu Sana Ila Prof.Lumumba amesema mje TZ kujifunza naman ya kupambana na Ufisadi,labda huenda ikasaidia😜😜
 
Hakuna cha kiingereza wala nini, mimi ukifagilia Kenya, nakuita mkenya tu.
Huyo ni Mtanzania mwenzako na wala wewe sio Mtanzania kumshinda. Yaani you are not more Tanzanian than him. But nimeona yeye yupo very rational and very logical. He is very intelligent ndio maana amekuaibisha peupe mbele ya watu.
 
Jielimishe 4 phases of vaccine development (Google).
Dah...kwani lazima ijaribiwe kwa wananchi?au Kenya huwa hamchagui wawakilishi?..kwetu Bongo wananchi hatuna tatizo...tuna wawakilishi wa kutosha...wabunge...madiwani...na wanalipwa [emoji2960]
 
Scientists have ethics - research ethics. No unwilling Kenyan will be forced to participate. Usieneze propaganda.
Ethics compliance in words only, you tell me if a poor unsuspecting folk in Kiambuu or in Turkana will even know that she is been stealthy subjected as a Guinea pig.

Good Lord, wonders shall never cease🙂
 
Huyo ni Mtanzania mwenzako na wala wewe sio Mtanzania kumshinda. Yaani you are not more Tanzanian than him. But nimeona yeye yupo very rational and very logical. He is very intelligent ndio maana amekuaibisha peupe mbele ya watu.

Every creature which is against Tanzania is less Tanzanian than who fight for it.
These guys are the ones who their illicit deals of albinos killings, drug trafficking, poaching rackets, port stealing have been completely destroyed. Sasa wana hasira ya kufa mtu. They can even go to hugging the transformer.
😄😃😁
 
Ethics compliance in words only, you tell me if a poor unsuspecting folk in Kiambuu or in Turkana will even know that she is been stealthy subjected as a Guinea pig.

Good Lord, wonders shall never cease🙂

Wakienda kule mathare wanasema, tumekuja wapea vaccination. Njoo mkuje niwapee. Halafu wanapewa na hela kidogo.
 
Wakienda kule mathare wanasema, tumekuja wapea vaccination. Njoo mkuje niwapee. Halafu wanapewa na hela kidogo.
Kuna kipindi waChina walikua wanagawa carton za beer badala ya chakula kule Turkana
 
Back
Top Bottom