FEDHA ZA EU ZINAVYOTUANGAMIZA WAKENYA
Tunajua dhahiri kwamba fedha za Umoja wa Ulaya (EU) ndio zinazotusababishia madhila ya kila aina sisi Wakenya.
Serikali yetu imepokea fedha hizo haramu zenye masharti ya kutuangamiza sisi Wakenya.
Baadhi ya masharti hayo ni kama yafuatayo:
1. Serikali lazima itoe takwimu kwamba COVID-19 ipo na waathirika wanaongezeka kila uchao.
2. Serikali lazima itufungie majumbani (lockdown) bila kujali madhara tunayoyapata.
3. Serikali lazima ikubali chanjo za majaribio za ugonjwa wa COVID-19. Serikali yetu imeshakubali na wakati wowote tutageuzwa panya wa maabara. Huu ni ugaidi wa kibaiolojia.
Tunafahamu kwamba COVID-19 ni utekelezaji wa New World Order mpango wa wazungu kutawala Dunia. Wanataka wakitoa amri, lazima itekelezwe.
Ndio maana wazee wetu hapa Kenya waliandika kitabu kisemacho Not Yet Uhuru kuonesha kwamba Kenya bado ipo chini ya wakoloni japokua tumepewa _uhuru bandia.