johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakazi wa Msata wamemshukuru Mkuu wa majeshi nchini Jenerali Venance Salvatory Mabeyo kwa kutoa sehemu ya fedha za mauzo ya kitabu chake kiitwacho "Wewe ni Shahidi wa Kristo?" ili kukarabati Msikiti na jengo la Kanisa Katoliki katika eneo lao
Naye mkuu wa shule ya jeshi Msata ameahidi kusaidia nguvu kazi katika ukarabati wa nyumba hizo za ibada.
Source: ITV habari
Mungu wa mbinguni mbariki Jenerali Mabeyo na Wanajeshi.
Naye mkuu wa shule ya jeshi Msata ameahidi kusaidia nguvu kazi katika ukarabati wa nyumba hizo za ibada.
Source: ITV habari
Mungu wa mbinguni mbariki Jenerali Mabeyo na Wanajeshi.