Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza ukabila ndugu, wasukuma wamekukosea nini?Hatuwezi kurudia kosa la kumpa nchi hii msukuma, never say never again.
Kwa sababu vilihitaji kukarabatiwa!Kwa nini amekarabiti msikiti na kanisa?
[emoji3][emoji2]watu kwa ku-reason nanyoosha mikono juu!Je, Yeye Mabeyo ni Shahidi wa Kristo? Kwanini alimwacha Magufuli aue watu na bado akamsaidia kuiba kura?
Ki-tanzania eee?Huyu General anastahili kuwa Rais wa nchi hii
Sukuma gang ingekuwa ni Iraq wote wangewekwa kwenye orodha ya kunyongwa ili iwe fundisho.Punguza ukabila ndugu, wasukuma wamekukosea nini?
Majesuits wamekamata kila sekta.Ushetani tu! wanafanya mizaha na mambo ya imani, Sasa huyu aliulinda udhalimu wa mwendazake ndo anatubu, au anatudhihaki
Jo pesa haina diniWakazi wa Msata wamemshukuru Mkuu wa majeshi nchini Jenerali Venance Salvatory Mabeyo kwa kutoa sehemu ya fedha za mauzo ya kitabu chake kiitwacho " Wewe ni Shahidi wa Kristo?" ili kukarabati Msikiti na jengo la Kanisa Katoliki katika eneo lao
Naye mkuu wa shule ya jeshi Msata ameahidi kusaidia nguvu kazi katika ukarabati wa nyumba hizo za ibada.
Source: ITV habari
Mungu wa mbinguni mbariki Jenerali Mabeyo na Wanajeshi.
Hapo chacha....Je, Yeye Mabeyo ni Shahidi wa Kristo? Kwanini alimwacha Magufuli aue watu na bado akamsaidia kuiba kura?
Niliona mahala kwamba kasoma seminary,tunaambiwa seminary huandaa mtu kuwa padri...hata iweje huwezi sahau uliyopitia seminaryAisee kumbe mfumo kristo upo deep sana.😄😄
Na atakuwaHatuwezi kurudia kosa la kumpa nchi hii msukuma, never say never again.