Fedha zetu za Michango ya ujenzi wa uwanja wa Simba ndio zimeliwa?

Fedha zetu za Michango ya ujenzi wa uwanja wa Simba ndio zimeliwa?

Ila Takukuru haiwatendei haki Watanzania, hiki ealichofanyiwa wana Simba ni Utapeli na wizi wa waziwazi, halafu Simba haohao walivyonogewa kutapeliwa wakamchangia pesa Feisal kwenda CAS kumbe mwenzao kaenda Chamazi pesa zao zimeliwa pia.
Feisal,alidanganya michango ataipeleka kanisani na misikitini 🤣.Iam sure ile michango kampa mama yake ili asiendelee kula ugali kwa sukari.
 
Mna uhakika kanjiabai alitoa kweli hizo pesa alizosema ??? au alifurahisha genge tuu ????
Tutafakari !! Billioni mbili si mchezooo !!!
 
Ni ajabu wanaokereka ni Utopolo wakati Simba wapo kimya.Endeleeni na ujinga wenu.
Acha kutetea ujinga. Fedha zetu za Michango ziko wapi? Au na Wewe ni sehemu ya uongozi wa Simba mliokula pesa zetu?
 
Mada haihusu Uto, unawaletaje hapa?

Ndio maana timu yetu haifanikiwi, badala tujadili pesa ziko wapi unaanza kucompare na Yanga

Kwani Uto waliopewa Bil.20 au hata Bil 2?

Walitangaza wanajenga uwanja?
mo arena umejengwa kwa gharama ya nani?
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Miongoni mwa Mambo ya kipuuzi nilishaapa sitakuja kufanya
1. Kuchanga fedha kwa ajili ya club ya mpira kujenga uwanja/ kuendesha timu
2. Kuchangia msanii fedha akiwa katika hali ngumu/ ugonjwa
3. Kuchanga fedha kwa ajili ya chama cha siasa
 
Miongoni mwa Mambo ya kipuuzi nilishaapa sitakuja kufanya
1. Kuchanga fedha kwa ajili ya club ya mpira kujenga uwanja/ kuendesha timu
2. Kuchangia msanii fedha akiwa katika hali ngumu/ ugonjwa
3. Kuchanga fedha kwa ajili ya chama cha siasa
Team inauikufurahisha hitaki kuchangia
Starehe gharama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mfano itokee kitu next time kuna mtu ata changa kwa huu uhuni tulifanyiwa?
 
Hamjui kuwa watu maskini ndo fursa?Yaani ukiwaambia watu million 60 watoe elfu moja moja tu,hapo tayari una M60.Poleni mnaowachangia matajiri.Mnajua mnachangia uwanja kumbe mnamchangia Mmwamedi.
Ni B60
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Aliyekuwa mtendaji mkuu wetu aliyepita ndugu Barbara alianzisha harambee ya kuchangisha Fedha kwa ajili ya ujenzi wa kiwanja chetu ambapo mwekezaji wetu alitoa bilioni 2 kama mchango wake binafsi.
Wanasimba wengi tulichanga kwa fujo Fedha ili tuweze kumiliki kiwanja chetu Cha kuchezea mechi zetu mbalimbali.

Sasa ni zaidi ya miaka mitatu hatusikii chochote kutoka kwenye uongozi kuhusu hatma ya Michango yetu, Je ndio kusema Fedha zetu zimeliwa??

Wanasimba wenzangu mbona mmelala? Watu wanatafunaa Fedha zetu nanyinyi mpo kimya tu?

Naomba waziri wa Michezo, Sanaa na utamaduni uingilie kati hili suala maana Fedha zetu zinatuuma

Cc: Aden RageView attachment 2738790
Wewe hata hela ya kupanga kachumba kamoja uswazi inakushinda unaishi kwa dadako ndiyo uichangie Simba. Hivi Utokolo msipoitaja Simba huwa mnakosa nini?
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Sisi mashabiki wa simba tunaona ni bora tu timu yetu iongozwe na Mzalendo mwenzetu Mzee Kilomoni. Hao viongozi wa sasa hatuwaamini hata kidogo. Yaani wamekula hela zetu hivi hivi. [emoji3062]
Hamia kabisa huku
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Unadhani kujenga uwanja ni kitu rahisi real Madrid wamechukua miaka kadhaa kurekebisha Santiago bernabeu kujenga uwanja sio kalio kwamba kila mtu analo
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Aliyekuwa mtendaji mkuu wetu aliyepita ndugu Barbara alianzisha harambee ya kuchangisha Fedha kwa ajili ya ujenzi wa kiwanja chetu ambapo mwekezaji wetu alitoa bilioni 2 kama mchango wake binafsi.
Wanasimba wengi tulichanga kwa fujo Fedha ili tuweze kumiliki kiwanja chetu Cha kuchezea mechi zetu mbalimbali.

Sasa ni zaidi ya miaka mitatu hatusikii chochote kutoka kwenye uongozi kuhusu hatma ya Michango yetu, Je ndio kusema Fedha zetu zimeliwa??

Wanasimba wenzangu mbona mmelala? Watu wanatafunaa Fedha zetu nanyinyi mpo kimya tu?

Naomba waziri wa Michezo, Sanaa na utamaduni uingilie kati hili suala maana Fedha zetu zinatuuma

Cc: Aden RageView attachment 2738790
Kamuulize aliyekuchangisha
 
Back
Top Bottom