Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

huo mkanganyiko ndio umesababisha watu kula...
 
Hakuna mkanganyiko hapo, ila watu wanataka kuhalalisha wizi walioufanya ili sheria isichukue mkondo wake. Kwa huo wizi hata miaka hamsini ijayo mtashitakiwa tu. Wezi wenzenu hawatawashitaki, ila watanzania hata makaburi yenu watayashitaki.
 
Back
Top Bottom