Tyta JF-Expert Member Joined May 21, 2011 Posts 12,767 Reaction score 10,528 Dec 11, 2014 #281 huo mkanganyiko ndio umesababisha watu kula...
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 27,256 Reaction score 16,317 Dec 11, 2014 #282 nkongu ndasu said: Siyo za umma ni za kina chenge, tibaijuka na ngeleja! Click to expand... Hivi ngeleja alipata mgao Kwanini au ndo za mjombaake?
nkongu ndasu said: Siyo za umma ni za kina chenge, tibaijuka na ngeleja! Click to expand... Hivi ngeleja alipata mgao Kwanini au ndo za mjombaake?
K KipimaPembe JF-Expert Member Joined Aug 5, 2007 Posts 1,285 Reaction score 698 Dec 11, 2014 #283 Hakuna mkanganyiko hapo, ila watu wanataka kuhalalisha wizi walioufanya ili sheria isichukue mkondo wake. Kwa huo wizi hata miaka hamsini ijayo mtashitakiwa tu. Wezi wenzenu hawatawashitaki, ila watanzania hata makaburi yenu watayashitaki.
Hakuna mkanganyiko hapo, ila watu wanataka kuhalalisha wizi walioufanya ili sheria isichukue mkondo wake. Kwa huo wizi hata miaka hamsini ijayo mtashitakiwa tu. Wezi wenzenu hawatawashitaki, ila watanzania hata makaburi yenu watayashitaki.