Kwanza kabisa niipongeze Chama cha Mapinduzi kufanya sherehe yake ya miaka 45 Mkoani Mara katika Manispaa ya Musoma.
Najua kuwa rasilmali nyingi zimetumika lakini ni matumizi ya siku moja tu LAKINI kwa ushauri wangu rasilmali zilizotumika leo zingeelekezwa katika miradi ya maendeleo kama barabara, Vituo vya Afya, kununua magari ya wagonjwa nk.
Hapa ndo bado namkumbuka Marehemu Mhe. Dr. Magufuli mawazo yake yangekuwa tofauti na mawazo ya leo.
Najua kuwa rasilmali nyingi zimetumika lakini ni matumizi ya siku moja tu LAKINI kwa ushauri wangu rasilmali zilizotumika leo zingeelekezwa katika miradi ya maendeleo kama barabara, Vituo vya Afya, kununua magari ya wagonjwa nk.
Hapa ndo bado namkumbuka Marehemu Mhe. Dr. Magufuli mawazo yake yangekuwa tofauti na mawazo ya leo.