Fedha zilizotumika sherehe za kuadhimisha Miaka 45 ya CCM zingeelekezwa kwenye huduma za jamii

Fedha zilizotumika sherehe za kuadhimisha Miaka 45 ya CCM zingeelekezwa kwenye huduma za jamii

Hiyo ni fixed cost Mkuu.
Au unataka kutuambia mishahara ya walinzi wa Rais itakuwa na nyongeza y siku moja waliomlinda Rais akiwa kwenye sherehe ya Chama chake?


Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Au kusingekua na sherehe ya CCM hao walinzi wangemlinda Rais for free ? Maana Rais yupo mkoani Mara kwa ziara ya siku nne.

Nimemshangaa sana huyu jamaa kwa hoja yake ya gharama za ulinzi wa Rais.
 
Acha kuteseka bwashee fedha ni za chama!
Kwa hiyo wakuu wa mikoa ma DC wakurugenzi na usalaama wote waliopo kwenye sherehe hizo wamejaza mafta na pesa za chakula kwa hela za chama ! Aiseee usingizi gani huo ulionao
 
Kwanza kabisa niipongeze Chama cha Mapinduzi kufanya sherehe yake ya miaka 45 Mkoani Mara katika Manispaa ya Musoma.

Najua kuwa rasilmali nyingi zimetumika lakini ni matumizi ya siku moja tu LAKINI kwa ushauri wangu rasilmali zilizotumika leo zingeelekezwa katika miradi ya maendeleo kama barabara, Vituo vya Afya, kununua magari ya wagonjwa nk.

Hapa ndo bado namkumbuka Marehemu Mhe. Dr. Magufuli mawazo yake yangekuwa tofauti na mawazo ya leo.

Angekuwa na mawazo tofauti wakati yeye alikuwa anazungukwa na mahelikopta kama ameingia madarakani kwa kupindua nchi.
 
Kwanza kabisa niipongeze Chama cha Mapinduzi kufanya sherehe yake ya miaka 45 Mkoani Mara katika Manispaa ya Musoma.

Najua kuwa rasilmali nyingi zimetumika lakini ni matumizi ya siku moja tu LAKINI kwa ushauri wangu rasilmali zilizotumika leo zingeelekezwa katika miradi ya maendeleo kama barabara, Vituo vya Afya, kununua magari ya wagonjwa nk.

Hapa ndo bado namkumbuka Marehemu Mhe. Dr. Magufuli mawazo yake yangekuwa tofauti na mawazo ya leo.
Mwendazake alikuwa akitutangazia anaahirisha sherehe ili fedha ipelekwe kwenye maendeleo! Kumbe alikuwa hafanyi hivyo.
Mfano barabara ya Morocco - Mwenge! Ilikuwa fedha za sherehe za Muungano zielekezwe huko, tulipigwa changa la macho.
Bora sasa mama anavyofanya maana fedha inatumika moja kwa moja kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na makundi mbalimbali, hayo nayo ni maendeleo.
Tuache kasumba ya kuwekeza kwenye maendeleo ya vitu pekee.
 
Hizo sherehe zinamanufaa mengi hasa kiuchumi kwa mwananchi ambae ni mjasiliamali kuna watu wamepika chakula na kuuza hapo, watu wameuza vinywaji kama maji na soda,wasafirishaji wamepata ridhiki yao,nyumba za kulala wageni zimejaa pia kwa wananchi wa mkoa wa Mara na mikoa aliyopita wamepata bahati ye kutembelewa na Mh.Raisi hivyo kufika kwake tu tayari kuna changamoto ameziona au kuambiwa na atazifanyia kazi.Pia nampongeza Mh.Raisi kwa kuizunguka Tanzania na kutatua changamoto mbalimbali zinazo wagusa wananchi.
 
Back
Top Bottom