Unataka kuniambia walinzi wa Rais wanalipwa na CCM leo? shame on youHizo ni sherehe za Ccm na sio serikali hivyo Ccm inaamua ielekeze pesa zao wapi
...
mkuu kuna walinzi hapo wamebeba bundukiHizo ni sherehe za Ccm na sio serikali hivyo Ccm inaamua ielekeze pesa zao wapi
...
Hao walinzi wanamlinda mkuu wa nchi hapo ambaye ni mwenyekiti wa Ccm....sasa tatizo lipo wapi hapo?Unataka kuniambia walinzi wa Rais wanalipwa na CCM leo? shame on you
Kwanini asilindwe na green guard?Hao walinzi wanamlinda mkuu wa nchi hapo ambaye ni mwenyekiti wa Ccm....sasa tatizo lipo wapi hapo?
Mali za umma zinatumiwa vibaya snmkuu kuna walinzi hapo wamebeba bunduki
na hizo pia ni za chama?
Utamkumbuka Sana tu. Na ikibidi utaanza kumuota,lkn ukweli mchungu ni kwamba hafufuki tena hivyo hatorudi. Yuko zake motoni anaungua kwa maovu aliyoyatenda.Hapa ndo bado namkumbuka Marehemu Mhe. Dr. Magufuli
Anayelindwa ni mkuu wa nchi boss (ambaye ni mwenyekiti wa Ccm)..tatizo nini?mkuu kuna walinzi hapo wamebeba bunduki
na hizo pia ni za chama?
Japokuwa ni shughuli za Chama...ila bado hapo alipo ni mkuu wa nchi.Kwanini asilindwe na green guard?
Ndiyo watumie mali za umma?KWANI CHADEMA MMENYIMWA KUAZIMISHA BIRTHDAY YA CHAMA CHENU
Nakuapia magufuru hawezi kuwa motoni,,hizo ni lugha za watu wasio na dini au dini uchwara.Hawa unaowaona ni wa maana basi ndo utawakuta motoni.Magufuru alipata mda wa kutubu ambayo ni bahati kwa wachacheUtamkumbuka Sana tu. Na ikibidi utaanza kumuota,lkn ukweli mchungu ni kwamba hafufuki tena hivyo hatorudi. Yuko zake moyoni anaungua kwa maovu aliyoyatenda.
Hiyo ni fixed cost Mkuu.Unataka kuniambia walinzi wa Rais wanalipwa na CCM leo? shame on you
Uliziona hata kama zilitumika ni za chama mkuuKwanza kabisa niipongeze Chama cha Mapinduzi kufanya sherehe yake ya miaka 45 Mkoani Mara katika Manispaa ya Musoma...
hapo niwatetee, ccm ina miradi mingi sana, na pesa nyingi sana. unataka watumie fedha za chama kwenye miradi? wawe wanatoa kama msaada au nini, manake kwenye hiyo miradi kuna pesa za taifa ambazo ziko kwenye bajeti.Kwanza kabisa niipongeze Chama cha Mapinduzi kufanya sherehe yake ya miaka 45 Mkoani Mara katika Manispaa ya Musoma...